Pages

Monday, April 14, 2014

Dk Mukangala Aipongeza NSSF Kuviunganisha Vyombo vya Habari


Nahodha wa timu ya mpira wa pete ya Business Times Limited akikabidhiwa kikombe mara baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa. Nahodha wa timu ya mpira wa pete ya Business Times Limited akikabidhiwa kikombe mara baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa.Nahodha wa timu ya mpira wa pete ya Business Times Limited akikabidhiwa kitita cha shilingi milioni 4 baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa. Nahodha wa timu ya mpira wa pete ya Business Times Limited akikabidhiwa kitita cha shilingi milioni 4 baada ya timu hiyo kuibuka mabingwaNaibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia (mwenye traksuti nyeusi) akikabidhi kikombe kwa nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mpira wa miguu. Wengine ni viongozi wajuu wa NSSF wakishuhudia. Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia (mwenye traksuti nyeusi) akikabidhi kikombe kwa nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mpira wa miguu. Wengine ni viongozi wajuu wa NSSF wakishuhudia.Nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited akionesha kitita cha shilingi milioni 4 na Nusu mara baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mpira wa miguu. Nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited akionesha kitita cha shilingi milioni 4 na Nusu mara baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mpira wa miguu.Nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited akionesha kombe juu mara baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi. Nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Business Times Limited akionesha kombe juu mara baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi
Baadhi ya wachezaji wa Business Times Limited wakishangilia kikombe na kitita cha shilingi milioni 4 na Nusu mara baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mpira wa miguu.  Baadhi ya wachezaji wa Business Times Limited wakishangilia kikombe na kitita cha shilingi milioni 4 na Nusu mara baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa mpira wa miguu

No comments:

Post a Comment