Pages
▼
Tuesday, September 30, 2014
MLAPA NG’OSHA: KALALE PEMA (OFFICIAL VIDEO)
MSANII
wa muziki wa Bongo Fleva anayekuja kwa kasi, Gabriel Samalu Ng’osha
‘Mlapa Ng’osha' ameachia video yake mpya inayokwenda kwa jina la 'Kalale
Pema' aliyoelezea maisha ya mateso anayopata mama mjamzito.
Mojawapo ya picha katika video hiyo.
Video
hiyo imetengenezwa chini ya prodyuza Melkiadi Oreje 'OJ' wakati audio
ikifanywa na Lebo ya Audio Visual ya nchini Kenya chini ya maprodyuza
Haptune & Douncher.
JIHAN DIMACHK NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TOP MODEL 2014
Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania Top
Model 2014, Jihan Dimachk (katikati) akipozi kwa picha na mshindi wa pili Doreen
Robert (wapili kulia), mshindi wa tatu Evelyn Baasa ambaye pia ni Miss Tanzania
Photogenic 2014 (wapili kushoto), mshindi wa nne, Lilian Timothy (kulia) na
Mshindo wa tano Nasreen Abdul, mara baada ya kushinda taji hilo jana ambapo Jihan
amekuwa mrembo wa pili kuingia katika nusu fainali za Miss Tanania 2014 baada
ya Miss Photogenic. Shindano la Miss Tanzania Top Mode lilifanyika katika ukumbi
wa Triple A jijini Arusha na kuwashirikisha warembo 30.
Taarifa Za Msanii Mwingine Wa Bongo Fleva Kufariki Dunia

Taarifa zilizonifikia muda huu ni kuwa msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo Fleva Side Boy amefariki dunia. Kwa mujibu wa mdogo wake Ally Khamis, anasema Kaka yao marehemu Said Salum Hemedy amefia Lindi kwenye hospitali ya Nyangao, Alikuwa akisumbuliwa na TB Ya mifupa.
Hii ndio video yake Hujafa hujaumbika,alifanya na Besti Naso.
JWTZ MILIONEA ALIVYOUAWA KWA RISASI
NI taharuki iliyojaa majonzi na simanzi kufuatia
Jeshi la Wananchi wa Tanzania ‘JWTZ’ Kikosi cha CMTU jijini Dar
kuondokewa na mpiganaji wake, Sajenti Yohana Lugendo Gweso (40) ambaye
alikuwa milionea aliyepigwa risasi sita mwilini na kufariki dunia papo
hapo.
Tukio hilo la kusikitisha, lilijiri saa 1:45 usiku wa Septemba 22,
mwaka huu, Ukonga Babana ndani ya baa maarufu ijulikanayo kwa jina la
Super Karatu.
UWAZI HATUA KWA HATUA
Kufuatia tukio hilo, Uwazi kama kawaida yake lilifuatilia kwa kina ili kubaini yaliyofichika nyuma ya pazia kama siyo sirini!
Kufuatia tukio hilo, Uwazi kama kawaida yake lilifuatilia kwa kina ili kubaini yaliyofichika nyuma ya pazia kama siyo sirini!
PAKA AFUNGWA HIRIZI MTINI...ASHUTUA WANANCHI MTAANI WAHOFIA MAISHA YAO


Tukio hilo lililokusanya umati mkubwa wakiwemo waumini wa msikiti huo
lilitokea alfajiri ya Alhamisi iliyopita ambapo baadhi ya waumini wa
msikiti huo walikuwa wamefika msikitini kwa Swala ya Alfajiri.
Monday, September 29, 2014
Hizi ndio gari mbili alizopewa Wema Sepetu kama zawadi ya Birthday
Miss Tanzania 2006 ambae bado analinda jina lake lisipotee midomoni mwa watu Wema Abraham Sepetu, ameshangazwa na watu wake wa karibu kwa zawadi alizopo
Wema alipokea gari mbili ambapo moja alipewa na Mpenzi wake Chibu Dangote "Diamond Platnumz" aina ya Nissan Murano ipo kwenye hapo chini pamoja na BMW ambayo hii wengi hawakujua imetoka kwa nani lakini baadae ukweli umetambulika kwamba imetoka kwa Kaka Manager Martin Kadinda. Martin amemkabidhi Wema gari hilo pamoja na kadi ya Gari ikiwa imeandikwa jina lake.
Wema alipokea gari mbili ambapo moja alipewa na Mpenzi wake Chibu Dangote "Diamond Platnumz" aina ya Nissan Murano ipo kwenye hapo chini pamoja na BMW ambayo hii wengi hawakujua imetoka kwa nani lakini baadae ukweli umetambulika kwamba imetoka kwa Kaka Manager Martin Kadinda. Martin amemkabidhi Wema gari hilo pamoja na kadi ya Gari ikiwa imeandikwa jina lake.
Hii ndio Nissan Murano aliyopewa na Diamond

Wema Sepetu baada ya kutoka nje na kuona gari hiyo
PICHA NA MTANDAO
RAY C SASA ATAKA KUOLEWA NA MZEE!
Utu uzima dawa! Staa wa Bongo
Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amefunguka kuwa kwa sasa hana mpenzi
wala hajapata mtu wa kumuoa ila anataka kuolewa na mzee atakayeweza
kumlea.
Akizugumza na wanahabari wetu kwenye mgahawa wake wa Ray C uliopo
Mwananyamala, Dar, mwanadada huyo alisema yeye kama mwanamke anatamani
kuolewa na kupata mtoto si na ‘serengeti boy’ bali mzee.
Aliendelea kutiririka kwamba akikosa wa kumuoa atatafuta mwanaume
atamlipa kwa ajili ya kuzaa naye tu lakini ni pale atakapokuwa anaweza
kulea mwenyewe.
Ray C aliongeza kuwa, kwa sasa anatafuta wadhamini kwa ajili ya
kuendesha taasisi yake ya Ray C Foundation kwani amefanikiwa kuwasaidia
watu wengi kupata kazi na kuachana na dawa za kulevya.
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya/GPL
WEMA AWACHARUKIA WASANII WENYE MAJUNGU
MADAMUUU! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu
‘Madam’ amecharuka na kudai anachukizwa kwa kiasi kikubwa na wasanii
ambao wanapenda kumfanyia majungu kutokana na chuki zao binafsi.
Akipiga stori na paparazi wetu, Madam alisema anajua wapo wengi wanaomchukia kutokana na sababu zisizo za msingi kwa kudai kuwa anaringa na vyovyote vile wanavyojadili lakini hajali kwa kuwa hakuna ukweli wowote.
“Watu wenye majungu hawanisumbui kichwa kabisa nabaki nawatazama tu, sababu sina maringo wala majivuno kwa mtu yeyote, sasa cha ajabu wengine wanasema naringa, kwa staili hiyo hatutafika mbali maana wasanii wa nchi za wenzetu wana umoja hawana mambo ya aina hiyo,” alisema Wema.
Akipiga stori na paparazi wetu, Madam alisema anajua wapo wengi wanaomchukia kutokana na sababu zisizo za msingi kwa kudai kuwa anaringa na vyovyote vile wanavyojadili lakini hajali kwa kuwa hakuna ukweli wowote.
“Watu wenye majungu hawanisumbui kichwa kabisa nabaki nawatazama tu, sababu sina maringo wala majivuno kwa mtu yeyote, sasa cha ajabu wengine wanasema naringa, kwa staili hiyo hatutafika mbali maana wasanii wa nchi za wenzetu wana umoja hawana mambo ya aina hiyo,” alisema Wema.
KABURI LA RECHO LALOA MACHOZI!

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
Roho inauma! Kwa mara nyingine, kaburi la aliyekuwa staa wa sinema za Kibongo, Rachel Leo Haule ‘Recho’ (pichani) limeloa machozi ya mastaa wakati wa kusimikwa msalaba baada ya kujengwa na kuonekana la kisasa, Ijumaa Wikienda lilikuwepo.
WEMA, DIAMOND WANADAIWA KUFANYIANA 'TIMINGI' YA KUMWAGANA!

Kwa mujibu wa mnyetishaji wetu makini, wawili hao wamepotezeana kwa
muda mrefu huku kila mmoja akifanya yake lakini kila mmoja anashindwa
kujitoa mhanga na kusema hawapo pamoja akihofia kuonekana ndiye tatizo.
“Kifupi ni kwamba Wema na Diamond hawapo pamoja kwa kipindi kirefu,
yawezekana wanawasiliana lakini si kwa mapenzi labda kwa mambo mengine.
Diamond anazuga kama yuko kwenye shoo, hata akirudi Bongo hawana ukaribu
na Wema kama ilivyokuwa zamani, anazuga kidogo kisha anaondoka tena.
ROSE NDAUKA MCHUMBA'KE WAACHANA!

TUJIUNGE NA CHANZO
Chanzo makini na cha uhakika kimemwaga data kwamba wachumba hao ambao walivalishana pete kwa mbwembwe miaka mitatu iliyopita huku wakipika na kupakua lakini wamekuwa katika mzozo wa muda mrefu wa kifamilia, ambapo mara kadhaa wameripotiwa kuchapana wameachana.
Chanzo makini na cha uhakika kimemwaga data kwamba wachumba hao ambao walivalishana pete kwa mbwembwe miaka mitatu iliyopita huku wakipika na kupakua lakini wamekuwa katika mzozo wa muda mrefu wa kifamilia, ambapo mara kadhaa wameripotiwa kuchapana wameachana.
Saturday, September 27, 2014
MASHINDANO YA VIPAJI VYA WANAWAKE (WOMEN TALENT SYSTEM) YALIVYOFANA KATIKA HOTELI YA JB BELMONT
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la
Azikiwe, Fabiola Massula (kushoto) akizungumza katika hafla hiyo. Kulia
ni Mshereheshaji wa shoo hiyo. Benki hiyo ni mmoja wa wadhamini wa shoo
hiyo.
Mkurugenzi wa Women Talent System,
Angels Howell (katikati) akizungumza jambo kuhusiana shoo hiyo (kulia
kwake), Meneja kutoka Mmi Tanzania, Paolo Frattari.
Rais wa Shirikisho la Dunia la mchezo
wa Karate (UPAM), Profesa Martina Maurizio (kushoto), akipiga makofi
kushiria kufuraishwa na jambo wakati wa mashindano ya vipaji vya
wanawake (WOMEN TALENT SYSTEM) ilifanyika Septemba 25,2014 katika Hotel
ya JB BELMONT jijini Dar es Salaam.
MAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI
Walimu
waliokuwa wakiendesha mafunzo kwa watoto hao wakiwa katika picha ya
pamoja. Kutoka kushoto ni Beatha Qambayot, Zilpa Masunga, Mtendaji Mkuu
wa Olimpiki Maalumu Tanzania, Frank Macha na Alphonsia Mwairafu.
Walimu hao wakiwa wameshika mipira ya kufundishia. (Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
Watoto
wenye ulemavu wa akili wakiwa katika picha na wazazi, pamoja na walimu
wao baada ya kumaliza mafunzo ya mwezi mmoja ya Olimpiki Maalumu
Tanzania yaliyofikia tamati wilayani Temeke Dar es Salaam leo.
FIESTA YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA SONGEA



WEBSITE & BLOGS DESIGN CAL: 0755 451 999.
Tunatengeneza Website na Blogs Zenye Mvuto wa kuvutia na tunatoa training Muda wote
Mawasiliano : 0755 451 999