MAMA GRACIA MACHEL AKUTANA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO
Waziri
wa maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba (katikati)
akimsikiliza Mke wa aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini Bi.Gracia Machel
(wa pili kushoto) aliyefika Wizarani hapo kujadili program maalum ya
kuwasaidia watoto wa kike kupata elimu.
Waziri
wa maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Sophia Simba (katikati)
akisisitiza jambo wakati wa kikao chake na aliyekuwa Rais wa Afrika ya
Kusini Bi.Gracia Machel (wa pili kushoto) aliyefika Wizarani hapo
kujadili program maalum ya kuwasaidia watoto wa kike kupata elimu.
Wengine pichani toka kulia ni Naibu Katibu Mkuu , Wizara ya Maendeleo ya
Jamii, Jinsia na Watoto , Nuru Millao na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya
Maendeleo ya Mtoto, Benedict Missani.
No comments:
Post a Comment