Pages

Friday, January 23, 2015

TANGAZO LA KAZI KUUZA DUKA LA VIFAA VYA UJENZI NA UMEME

Anatafutwa kijana wa kuuza duka la vifaa vya ujenzi na umeme
KITUO CHA KAZI: Dar es Salaam
ELIMU: Kidato cha IV na kuendelea
UZOEFU: Mwaka mmoja
Kwa maelezo zaidi jinsi ya kuomba nafasi hii piga namba hii ===> 0713 468 393

No comments:

Post a Comment