Pages

Tuesday, April 21, 2015

Diamond Platnumz azungumzia kauli ya Wema kuhusu kushindwa kupata mtoto

wema-na-diamond
Kupitia kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds Tv msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz kwa mara ya kwanza amezungumzia kauli ya Wema Sepetu ya kushindwa kupata mtoto.
Diamond >Ujumbe wa Wema umeniumiza kama ulivyoumiza wengine, Diamond alisema anajua Wema ameshambuliwa na wengi juu ya swala hilo na amemsifu kwa kusema ukweli.

No comments:

Post a Comment