Pages

Thursday, January 3, 2013

SHOO YA DIAMOND NEW MAISHA CLUB MASHABIKI WAPAGAWA

Diamond akikamua mbele ya mashabiki kwa wimbo wake uitwao 'Mawazo'.
 
Mmoja wa mashabiki wa Diamond akimtunza wakati akitumbuiza.
Diamond akiwajibika kabla ya vurugu.

 
Dully Sykes akitumbuiza ukumbini hapo.
 
Beny Pol akiimba huku akitunzwa na shabiki yake.
 
Baadhi ya mashabiki wakisukumana.
Diamond akiwa katika chumba cha mapumziko baada ya shoo yake kukatizwa na vurugu.
Chid Benz akiomba ‘mic’ ili atulize mzuka wa mashabiki.
SHOO ya kufungua mwaka 2013 ya msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, usiku wa kuamkia leo ilifanya mashabiki kupagawa na kusababisha shoo kusimamishwa kwa muda ili kutuliza mzuka wa mashabiki. Mbali ya Platinumz, wasanii wengine waliompa tafu na kufunika vilivyo ndani ya Maisha Club ni pamoja na  Dully Sykes na Beny Pol.
Habari/Picha: Musa Mateja/GPL

No comments:

Post a Comment