STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond
Platnumz' alizaliwa Octoba 2, 1989. Sherehe ya bethidei yake ilifanyika
ukumbi wa Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo na kuhudhuriwa na mastaa
miongoni mwao ni T.I.D, Chidi Benz, Profesa Jay, B12, Elizabeth michael
'Lulu', Ommy Dimpoz na wengine.
(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL)
No comments:
Post a Comment