“Mke wangu, kila siku namwona huyu kijana mchafuchafu anakuja kuokota chupa tupu hapa, ina maana tuna chupa tupu kila siku?”
“Siyo hivyo mume wangu, we hujamfuatilia tu, anakuja kila baada ya siku tano. Tumsaidie mume wangu, si unamwona kijana mwenyewe maskini huyu,” alisema mama Joy huku macho yake yote yakimwangalia yule kijana mwokota makopo…
“Awe anakuja mchana basi, usiku kama huu hapa nje, mimi naweza kumchapa risasi nikidhani mwizi. Si unaona hata mavazi yake? Kwanza haogi huyu, hata harufu anatoa
“Mume wangu usimkufuru Mungu, sisi kupewa uwezo ni matakwa yake, hakuna binadamu ambaye akipewa nafasi ya kuchagua maisha bora na duni, atasema anataka duni.”
“Mimi sijafika huko, ila nasema awe anakuja mchana tu si usiku kama huu.”
“Sawa mume wangu,” alisema mama.
Hayo yalitendeka wakati baba Joy akiegesha gari mahali pake kisha akashuka na kuanza kutembea mkononi ameshika brifkesi yake.
Siku hiyo, baba Joy alikuwa kama amevaa Kinaijeria f’lani.
Mama Joy alimpokesa mumewe brifkesi kisha akamwacha apite ili yeye amfuate kwa nyuma. Wakati mumewe anaingia, mama Joy aligeuka kumwangalia mwokota chupa tupu ambaye kwa muda huo alikuwa amebeba fukp la ‘salfeti’ begani.
Mama Joy alimwonesgha ishara kwamba aondoke haraka sana kwa vile mumewe amerudi. Kijana wa watu, alitoka getini kwa kuruhusiwa na mlinzi.
“Unasikia mama Joy,” baba Joy alianza kusema tena akiwa amekaa kwenye sofa kubwa…
“Abee…”
“Mimi sipendi watu wawe wanaingiaingia humu ndani hovyo. Tena nadhani iko haja ya sehemu ya kutupia taka niijenge nje ili watu wasipate sababu ya kuingia ndani…
“Wewe kijana mchafuchafu vile, si lazima pia atakuwa mwizi..?”
“Nimekuelewa baba Joy, hataingia tena usiku ikitokea itakuwa mchana.”
“Iwe hivyo, sitaki kumwona tena usiku. Kwanza wewe ni mke wa mtu, mnachekeanachekea kwa sababu gani?”
“Basi mume wangu jamani, nimekuelewa.”
Mzee huyo aliondoka kwenda kazini, mkewe mama Joy alisiama nje kwa muda mrefu, alipotaka kugeuka kurudi ndani, kwa mbali alimwona mwanaume akitokea. Mgongoni alibeba furushi…
“Au yule?” alisema moyoni. Alisubiri kwa muda ili amwone kwa karibu, lakini hakuwa yeye.
Nusu saa baada ya kuingia ndani, kengele ya geti kubwa ililia…
“Mh! Si yeye huyo?” alijihoji mama Joy akiamini aliyebonyeza kengele ni mzoa taka. Japokuwa alijua mlinzi atashughulikia, lakini aliamua kutoka mwenyewe kuelekea getini ambapo alimkuta mlinzi anasukuma geti kubwa.
“Nani amepiga kengele?” mama Joy aliuliza…
“Sijamjua ni nani?” mlinzi alijibu huku akiendelea kusukuma geti, likawa wazi…
“Shikamoo mama,” mzoa taka alisalimia akiwa anatabasamu...
“Hujambo wewe?” mama Joy alijibu hivyo badala ya kusema marhaba. Na tangu mzoa taka huyo ameanza kuingia ndani ya nyumba hiyo kuchukua taka, kila akimsalimia shikamoo mama Joy anajibiwa hujambo wewe au asante kijana…
“Sijamboo, shikamoo…”
“Asante…askari, funga geti…”
“Sawa. Huyu mzoa taka aingie..?”
“Aingie ndiyo. Akishaingia funga geti.”
Mzoa taka aliingia hadi ndani, akamkaribia mama Joy ambaye naye alimkaribisha hadi kwenye sehemu yenye taka.
Mlinzi aliwakodolea macho. Kilichomshangaza zaidi ni kauli ya baba Joy kwamba hataki kumwona mlinzi huyo nyumbani kwake…
“Sasa mbona amemuingiza tena leo? Halafu kuna siri nzito mimi naiona kati ya mama na huyu mzoa taka, maana mama akiamkiwa shikamoo hatakagi kuitika marhaba,” mlinzi aliwaza.
Mama Joy alimfikisha mzoa taka kwenye pipa la taka ambalo lilijengwa vizuri ndani ya nyumba hiyo…
“Jana mwenzangu mzee alikasirika sana,” alianza kusema mama Joy…
“Hata mimi kama nilimwona. Niliogopa sana…”
“Yeye anasema hataki kuona unaingia humu ndani usiku. Akasema atalitoa hili pipa na kulijengea nje huko.”
“Kwa hiyo akinikuta saa hizi humu ndani kwake si ataniua?”
“Hawezi, ingawa ana bastola…”
“Mama mimi nakwenda, kumbe mumeo ana bastola..!”
“Hawezi kukuua, alisema hataki uingie usiku, ‘asa kwani saa hizi ni usiku?” alisema mama Joy huku akimsogelea mzoa taka huyo na kumshikashika kidevuni. Alizikuna ndevu zake chache…
“Una ooo nzuri kijana, sema tu hutaki kuitunza…”
“Una macho mazuri, madogoooo, sema tu unayashindisha juani mpaka yanakuwa mekundu, au unavuta bangi..?”
“Sivuti bangi mama…”
“Una midomo mizuri, minene halafu myeusi, naipenda.” Hapo mama Joy vidole vyake vilikuwa vikicheza kwenye midomo ya mzoa taka huyo ambaye alionekana hajapiga mswaki…
“Halafu kifua chako kimetuna vizuri sana, mi nakipenda, unafanyaga mazoezi nini?”
“Nina muda huo mama, labda kimetuna chenyewe tu.”
Mama Joy alimvutia kwake mzoa take, akamgusanisha na kifua chake huku akizidi kummwagia sifa kibao…
“Halafu kifua chako kina joto zuri…”
“Asante mama…”
“Halafu masikio yako yamekaa vizuri kwa kushikwashikwa,” mama Joy akamshika masikio mzoa taka huyo…
“Mama unanitekenya lakini…”
“Kweli..?”
“Kweli tena…”
“Nakutekenya nikifanyaje?”
“Hivyo unavyonishikashika masikio…”
“Yaani hivi,” alisema mama Joy akiendelea kumshikashika sehemu hizo, mzoa taka akachachamaa mwili, akatupa furushi lake chini.
Kutokana na maisha yake ya kifukara ambapo kula, kulala kwake kwa kubahatisha, mzoa taka hakuwa akipata mademu, kwa hiyo mama Joy kumfanyia ‘utani’ ule wa kimahaba kwake ilikuwa kama mtende ulioota kwenye jangwa…
“Unajua mwenzio naumia mama, kwani nini kimetokea mpaka leo unafanya hivi..?”
“Kijana tulia, kwani siku zote hukuona kama nimekupenda sana mwenzio..?”
“Aaah! Mama wewe mke wa mtu, mimi siwezi, naogopa na sitaki.”
Mama Joy alijua kauli ya mzoa taka huyo ya kugoma inaweza kuzua matatizo makubwa kwamba atamtangaza, akaamua kumbaka.
Kwanza, aliangalia kulia na kushoto, alipoona hakuna mtu na mlinzi hawezi kufika, alimshika mzoa taka na kumlaza chini kwenye nyasi za bustani, akamvua suruali, akamvua ‘kufuli’ kisha yeye akavua zake na kuanza kujihudumia kwa raha zake…
“Mama…”
“Abee…”
“Mumeo ana bastola lakini…”
“Wala isikutishe, ha…ha…wezi kuja…”
“Akija je?”
“Ni…nisi…kie mi…mi…”
Showing posts with label Chombezo. Show all posts
Showing posts with label Chombezo. Show all posts
Tuesday, October 22, 2013
Tuesday, October 1, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA..SEHEMU YA 10.
ILIPOISHIA ...NA IRENE MWAMFUPE NDAUKA.
“Mpenzi, chumba kimepatikana…”
“Wapi..?”
“Kule maeneo ya nanihi, si mbali
sana…”
“Bonge la chumba. Simenti chumba
chote, kikubwa kama uwanja wa mpira, halafu bei ya ubwete…”
“Wapi..?”
“Kule maeneo ya nanihi, si mbali
sana…”
“Bonge la chumba. Simenti chumba
chote, kikubwa kama uwanja wa mpira, halafu bei ya ubwete…”
“Ngoja kwanza, una maana mimi
nitaweza kuja na gari nikaegesha mahali..?”
“Mh! mh! Mwenye nyumba anaweza
kutengeneza pakingi ana nafasi kubwa…”
***
Baba Joy alikuwa amekaa kwenye
mgahawa mmoja mpya. Hauna watu wengi na uko mtaa wa pili kutoka nyumbani kwake.
Simu yake iliisha chaji na alikuwa akipigania kuchajiwa na mwenye mgahawa huo…
nitaweza kuja na gari nikaegesha mahali..?”
“Mh! mh! Mwenye nyumba anaweza
kutengeneza pakingi ana nafasi kubwa…”
***
Baba Joy alikuwa amekaa kwenye
mgahawa mmoja mpya. Hauna watu wengi na uko mtaa wa pili kutoka nyumbani kwake.
Simu yake iliisha chaji na alikuwa akipigania kuchajiwa na mwenye mgahawa huo…
“Chaja ya pini ndigo ilikuwepo mzee,
sijui nani kaichukua? We Benadi…” Benadi ni mhudumu wa mgahawa huo…
“Nani kachukua chaja ya pini
ndogo..?”
sijui nani kaichukua? We Benadi…” Benadi ni mhudumu wa mgahawa huo…
“Nani kachukua chaja ya pini
ndogo..?”
“Sifahamu bosi, muulize Malinda jana
alikuwa analalamika simu yake haina chaji,” alijibu Benadi.
Baba Joy alitoka mbio hadi nyumba ya
pili baada ya mgahawa huo. Nyumba ambayo hakuna anayemjua…
“Jamani hodi…”
alikuwa analalamika simu yake haina chaji,” alijibu Benadi.
Baba Joy alitoka mbio hadi nyumba ya
pili baada ya mgahawa huo. Nyumba ambayo hakuna anayemjua…
“Jamani hodi…”
“Karibu,” binti mmoja, mweupe, mnene
kiasi alitoka na kumwangalia kwa tabasamu mzee huyo…
“Karibu sana…”
“Asante…”
“Shikamoo…”
kiasi alitoka na kumwangalia kwa tabasamu mzee huyo…
“Karibu sana…”
“Asante…”
“Shikamoo…”
Tuesday, September 24, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA...SEHEMU YA 09.
NA IRENE MWAMFUPE NDAUKA.
ILIPOISHIA SEHEMU YA NANE....Baba Joy alitingisha kichwa kama kukubaliana na maneno ya
Fuko...
”Oke...sawa, ni nimekuelewa vizuri, endelea na kazi,”
alisema baba Joy.
Alisimama mlango mkubwa na kumwita mkewe...
”Mama Joy...”
”Abee.”
Sekunde kadhaa mbele, mama Joy alisimama mbele ya
mumewe...
”Abee...”
”Hili fuko la taka hapa chafuchafu vipi?”
“Siii,” alimwita
maana alikuwa amempa mgongo akielekea kona nyingine ya nyumba.
Mama Joy aligeuka na
kumwona mzoa taka, akaachia tabasamu laini…
“Wewe umezamaje humo
ndani..?”
“Nimezama tu
mwenyewe, si unajua tena kujiokoa…”
“Haya toka tuongee
sasa, maana pale ulimuulizia yule kijana ni nani, yule kijana anaitwa Bonny, ni
kijana wa nyumba ya tatu tu hapo mbele, familia yake na familia yangu ni kama
marafiki wakubwa sana, alikuja kunisalimia,” alisema mama Joy baada ya mzoa
taka kutoka katika dude la kuzolea taka…
“Mbona mlinzi wako alisema yeye ni
kama mimi…”
ILIPOISHIA SEHEMU YA NANE....Baba Joy alitingisha kichwa kama kukubaliana na maneno ya
Fuko...
”Oke...sawa, ni nimekuelewa vizuri, endelea na kazi,”
alisema baba Joy.
Alisimama mlango mkubwa na kumwita mkewe...
”Mama Joy...”
”Abee.”
Sekunde kadhaa mbele, mama Joy alisimama mbele ya
mumewe...
”Abee...”
”Hili fuko la taka hapa chafuchafu vipi?”
“Siii,” alimwita
maana alikuwa amempa mgongo akielekea kona nyingine ya nyumba.
Mama Joy aligeuka na
kumwona mzoa taka, akaachia tabasamu laini…
“Wewe umezamaje humo
ndani..?”
“Nimezama tu
mwenyewe, si unajua tena kujiokoa…”
“Haya toka tuongee
sasa, maana pale ulimuulizia yule kijana ni nani, yule kijana anaitwa Bonny, ni
kijana wa nyumba ya tatu tu hapo mbele, familia yake na familia yangu ni kama
marafiki wakubwa sana, alikuja kunisalimia,” alisema mama Joy baada ya mzoa
taka kutoka katika dude la kuzolea taka…
“Mbona mlinzi wako alisema yeye ni
kama mimi…”
Tuesday, September 17, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA 08
NA IRENE MWAMFUPE NDAUKA
kuondoka nalo. Wakati anaondoka, baba Joy alimtupia macho mwanzo mwisho,
akabetua vidole na kuzama ndani.
***
Asubuhi iliyofuata, baba Joy aliondoka kwenda ofisini
kwake kama kawaida. Alikuwa na ahadi za kibiashara kama tano baada ya kuwa
Arusha.
Nyuma, mama Joy alioga, akajipodoa vizuri sana na kutoka
hadi getini...
”Fungua geti,” alimwamuru Fuko...
”Sawa bosi,” mlinzi alifungua geti kwa wasiwasi huku
akikumbuka alivyomchongea mwanamke huyo kwa mumewe jana yake kwamba anahisi
alimtoa mzoa taka jana yake alipomtuma dukanu kununua dawa ya mswaki.
Baada ya geti kuwa wazi, mama Joy alitoka nje na kusimama
akiangaza kulia na kushoto...
”Sijui kijana wangu mzoa taka atakuja au ndiyo ameingiwa
na woga? Angekuja japo nimwone kwa macho tu...nakapenda katoto kale...kanayajua
mambo.
ILIPOISHIA...
Baba Joy alitingisha kichwa kama kukubaliana na maneno
ya
Fuko...
”Oke...sawa, ni nimekuelewa vizuri, endelea na kazi,”
alisema baba Joy.
Alisimama mlango mkubwa na kumwita mkewe...
”Mama Joy...”
”Abee.”
Sekunde kadhaa mbele, mama Joy alisimama mbele ya
mumewe...
”Abee...”
”Hili fuko la taka hapa chafuchafu vipi?”
Fuko...
”Oke...sawa, ni nimekuelewa vizuri, endelea na kazi,”
alisema baba Joy.
Alisimama mlango mkubwa na kumwita mkewe...
”Mama Joy...”
”Abee.”
Sekunde kadhaa mbele, mama Joy alisimama mbele ya
mumewe...
”Abee...”
”Hili fuko la taka hapa chafuchafu vipi?”
Mama Joy hakujibu kitu, alilifuata, akainama kuliokota na
kuondoka nalo. Wakati anaondoka, baba Joy alimtupia macho mwanzo mwisho,
akabetua vidole na kuzama ndani.
***
Asubuhi iliyofuata, baba Joy aliondoka kwenda ofisini
kwake kama kawaida. Alikuwa na ahadi za kibiashara kama tano baada ya kuwa
Arusha.
Nyuma, mama Joy alioga, akajipodoa vizuri sana na kutoka
hadi getini...
”Fungua geti,” alimwamuru Fuko...
”Sawa bosi,” mlinzi alifungua geti kwa wasiwasi huku
akikumbuka alivyomchongea mwanamke huyo kwa mumewe jana yake kwamba anahisi
alimtoa mzoa taka jana yake alipomtuma dukanu kununua dawa ya mswaki.
Baada ya geti kuwa wazi, mama Joy alitoka nje na kusimama
akiangaza kulia na kushoto...
”Sijui kijana wangu mzoa taka atakuja au ndiyo ameingiwa
na woga? Angekuja japo nimwone kwa macho tu...nakapenda katoto kale...kanayajua
mambo.
Sunday, September 8, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA 07
Na Irene Mwamfupe Ndauka
ILIPOISHIA
“Haloo…”“Halo, baba Joy…”“Nini?”“Khaa! Asa mbona unapokea simu unaniulizanini..?”“Ulitaka nikuulizeje..?”“Unajua nataka kukwambia nini..?”“Wewe mwanamke wewe, usiniletee usanii mimi,we endelea tu,” baba Joy alikata simu. Mama Joy alibaki ameishika simu yake huku
mikono ikitetemeka na wasiwasi juu…“Helena,” kwa mara ya kwanza alimuita kwa
jina mfanyakazi wake huyo…
“Abee bosi…”mikono ikitetemeka na wasiwasi juu…“Helena,” kwa mara ya kwanza alimuita kwa
jina mfanyakazi wake huyo…
“Haraka sana.”
Sekunde kadhaa, Helena akawa amefika…
“Kamuite na Fuko.”
Helena alitoka hadi kwa mlinzi…
“Bosi anatuita, lakini usoni kama hayuko
sawasawa…”
“Aah! Kakwambiaje kwani?”
“Kwanza we ndiyo ulimwambia mimi nilipigiwa
simu na mumewe..?”
“Sikusema hivyo, nilisema labda alikupigia
na wewe, nilitumia neno labda.”
“Nyiye,” mama Joy aliwaita akiwa amesimama
nje ya mlango mkubwa.
“Tunakuja mama,” alisema mlinzi huku
wakitembea kwa kasi kuelekea alikosimama.
Mama Joy alipowaona wamekaribia, aligeuka
kutangulia ndani…
“Tumefika mama…”
Mama Joy aligeuka kuwaangalia kisha akakaa
kwenye kochi…
“Nani kati yenu ni mnafiki kwangu..?”
Wote wawili waliangaliana kwa nyuso zenyen
wasiwasi…
Saturday, August 31, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA 06.
Na Irene Mwamfupe Ndauka.
ILIPOISHIA...
“Haa! Mume wangu huyo anapiga…
“Haloo…”
“Uko wapi wewe..?”
“Nani mimi..?”
“Unaniuiliza swali gani hilo..?”
“Niko nyumbani…”
“Na nani..?”
“Nani mimi..?”
“Haloo…”
“Uko wapi wewe..?”
“Nani mimi..?”
“Unaniuiliza swali gani hilo..?”
“Niko nyumbani…”
“Na nani..?”
“Nani mimi..?”
“Mama Joy…”
“Abee…”
Baba Joy alikata simu. Alianza kuhisi kitu
kikubwa zaidi. Akampigia mfanyakazi wa ndani…
“Za safari bosi..?”
“Njema, upo nyumbani..?”
“Ndiyo bosi…”
“Mama je..?”
“Abee…”
Baba Joy alikata simu. Alianza kuhisi kitu
kikubwa zaidi. Akampigia mfanyakazi wa ndani…
“Za safari bosi..?”
“Njema, upo nyumbani..?”
“Ndiyo bosi…”
“Mama je..?”
“Yupo bosi…”
“Yupo na nani..?”
“Yupo na nani..?”
“Nani mama..?”
“Hivi nyiye hapo nyumbani pana nini leo..?”
“Kwa nini bosi..?”
“Mbona hammalizi kujibu badala yake mnauliza
maswali… nimekuuliza mama je, yupo hapo nyumbani? Badala ya kunijibu unaniuliza
na wewe ‘nani mama?’” alifoka baba Joy…
“Samahani sana bosi, mama yupo na mgeni
wake…”
“Hivi nyiye hapo nyumbani pana nini leo..?”
“Kwa nini bosi..?”
“Mbona hammalizi kujibu badala yake mnauliza
maswali… nimekuuliza mama je, yupo hapo nyumbani? Badala ya kunijibu unaniuliza
na wewe ‘nani mama?’” alifoka baba Joy…
“Samahani sana bosi, mama yupo na mgeni
wake…”
“Mgeni gani…?”
“Kijana mmoja hivi…”
“Huyo kijana we unamjua..?”
“Namjua bosi, anakujaga kuzoa taka...”
“Kumbe ni yule mzoa taka siyo?” aliuliza
baba Joy huku akisimama kwenda kuongelea pembeni maana aliona pale siri zake
zitakuwa nje…
“Ndiyo bosi…”
“Wako wapi muda huu..?”
“Naona wapo…ooooo, wapo sebuleni bosi…”
“Kijana mmoja hivi…”
“Huyo kijana we unamjua..?”
“Namjua bosi, anakujaga kuzoa taka...”
“Kumbe ni yule mzoa taka siyo?” aliuliza
baba Joy huku akisimama kwenda kuongelea pembeni maana aliona pale siri zake
zitakuwa nje…
“Ndiyo bosi…”
“Wako wapi muda huu..?”
“Naona wapo…ooooo, wapo sebuleni bosi…”
Wednesday, August 28, 2013
CHOMBEZO:KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA ...05
Na Irene Mwamfupe Ndauka
ILIPOISHIA:
“Mungu wangu…atakuwa nani huyo..?”
Fuko alivaa nguo zake na kufungua mlango ili
atoke mbio, akakutana na macho ya mfanyakazi wa ndani…
“Ha!” alihamaki mfanyakazi…
“Ooosh,” mlinzi naye alishutuka akarudi
chumbani…
Fuko alivaa nguo zake na kufungua mlango ili
atoke mbio, akakutana na macho ya mfanyakazi wa ndani…
“Ha!” alihamaki mfanyakazi…
“Ooosh,” mlinzi naye alishutuka akarudi
chumbani…
“Sasa wewe unatokaje bila kuniambia, je
ukikutana na huyo mama wa kazi itakuwaje?” alihoji mama Joy…
“Siyo nikikutana naye, nimekutana naye kweli,
amesimama hapo mlangoni…”
“Kweli..?”
ukikutana na huyo mama wa kazi itakuwaje?” alihoji mama Joy…
“Siyo nikikutana naye, nimekutana naye kweli,
amesimama hapo mlangoni…”
“Kweli..?”
“Kweli bosi.”
Yule mfanyakazi alipokutana na macho ya
mlinzi, alitoka mbio kwenda jikoni huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa kasi ya
ajabu…
Yule mfanyakazi alipokutana na macho ya
mlinzi, alitoka mbio kwenda jikoni huku mapigo ya moyo yakimwenda kwa kasi ya
ajabu…
“Oo…ooo…”alihema…
“Ina…ina maana…ina maana mama na Fuko ni
wapenzi? Hivi ina…inawezekana kweli..?”
Mama Joy alifungua mlango, hakukuta
mfanyakazi wale msaidizi wake, akatembea kuelekea jikoni, akasikia mlio wa
mfuniko kwenye sufuria, akarudi chumbani mbio…
“Toka sasa, yupo jikoni…”
“Hawezi kuniona..?”
“Nimekwambia yuko jikoni sasa atakuonaje?”
“Ina…ina maana…ina maana mama na Fuko ni
wapenzi? Hivi ina…inawezekana kweli..?”
Mama Joy alifungua mlango, hakukuta
mfanyakazi wale msaidizi wake, akatembea kuelekea jikoni, akasikia mlio wa
mfuniko kwenye sufuria, akarudi chumbani mbio…
“Toka sasa, yupo jikoni…”
“Hawezi kuniona..?”
“Nimekwambia yuko jikoni sasa atakuonaje?”
Mlinzi alitoka mbio. Kufika nje akasikia
geti kubwa linagongwa, akaweweseka kwanza kabla ya kwenda kumjua anayegonga…
“Siyo bosi huyo…kama ni yeye amerudi saa
ngapi? Hajatuona kweli..?”
Alikimbilia getini, alipogundua bado
kulikuwa na kufuli, aliingia kwenda banda na kuchukua funguo…
“Ngo ngo ngooo…”
“Nani?”
“Mimi…”
“Wewe nani..?”
geti kubwa linagongwa, akaweweseka kwanza kabla ya kwenda kumjua anayegonga…
“Siyo bosi huyo…kama ni yeye amerudi saa
ngapi? Hajatuona kweli..?”
Alikimbilia getini, alipogundua bado
kulikuwa na kufuli, aliingia kwenda banda na kuchukua funguo…
“Ngo ngo ngooo…”
“Nani?”
“Mimi…”
“Wewe nani..?”
Monday, August 26, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA.....SEHEMU YA...04.
Na Irene Mwamfupe Ndauka
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Umefunga geti kwa kufuli kweli wewe Fuko?”
“Ndiyo mama…”
“Haya pita, lakini sasa nina wasiwasi na
kitu kimoja…”
“Kipi tena mama..?”
“Ndiyo mama…”
“Haya pita, lakini sasa nina wasiwasi na
kitu kimoja…”
“Kipi tena mama..?”
“Mvua ni kubwa sana na mzee alisema
anasafiri, haiwezekani akaghairi kusafiri, akarudi..?”
“Mh! Lakini hataweza kuingia ndani hadi
afunguliwe geti…”
anasafiri, haiwezekani akaghairi kusafiri, akarudi..?”
“Mh! Lakini hataweza kuingia ndani hadi
afunguliwe geti…”
“Nitakwenda kufungua mimi,” alisema mlinzi…
“Sasa ukitoka si atasikia mlango huu
ukifunguliwa wakati wewe unatakiwa kukaa kwenye kijumba chako..?”
“Mama, atasikia na mvua hii, labda kama
itaacha kunyesha mama.”
Hapo, mlinzi alishaketi, mama Joy naye
aliketi lakini kwenye kochi jingine.
“Sasa ukitoka si atasikia mlango huu
ukifunguliwa wakati wewe unatakiwa kukaa kwenye kijumba chako..?”
“Mama, atasikia na mvua hii, labda kama
itaacha kunyesha mama.”
Hapo, mlinzi alishaketi, mama Joy naye
aliketi lakini kwenye kochi jingine.
Walitulia kwa muda wakitazamana. Mama Joy
ndiye aliyekuwa akimwangalia kwa macho ya mahaba mlinzi wake huyo ambapo yeye
alikuwa akisikia aibu na kuangalia chini kila mara…
“Sasa?” aliuliza mama Joy…
ndiye aliyekuwa akimwangalia kwa macho ya mahaba mlinzi wake huyo ambapo yeye
alikuwa akisikia aibu na kuangalia chini kila mara…
“Sasa?” aliuliza mama Joy…
“Sijui, si uliniita bosi ukasema una
mazungumzo muhimu na mimi.”
“Ee, ni kweli. Sasa nataka tukaongelee
chumbani kwani mambo yenyewe ni nyeti sana.”
Mlinzi alishtuka kusikia kauli hiyo mpaka
ikawa inajirudiarudia kichwani mwake…
mazungumzo muhimu na mimi.”
“Ee, ni kweli. Sasa nataka tukaongelee
chumbani kwani mambo yenyewe ni nyeti sana.”
Mlinzi alishtuka kusikia kauli hiyo mpaka
ikawa inajirudiarudia kichwani mwake…
Wednesday, August 14, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA.... 03..
“Simu yako iko wapi?”
“Kule kwenye kibanda changu.”
“Nenda kailete haraka sana.”
Mlinzi alisimama na kutoka. Mama Joy aliwaza mengi kichwani mwake wakati
anamsubiri mlinzi…
“Huyu lazima alimpigia simu mume wangu,
akamwambia mzoa taka amekuja, maana jana si alisikia baba Joy alivyokuwa
akikataza watu kuingia? Lakini yeye alisema hataki watu waingie usiku, sasa
kwani saa hizi usiku?”
“Halafu ni kweli itakuwa yeye maana
hawapatani tangu zamani. Hata leo yenyewe pale getini si walibalulana kidogo.
Atakuwa yeye tu. Baba Joy alikuja akidhani atamkuta mzoa taka, bahati nzuri
kashaondoka.”
Mara, mlinzi aliingia…
“Iko wapi?”
“Hii hapa.”
Mama Joy aliipokea simu hiyo na kusachi
namba zilizopiga kwa siku hiyo, hakukuwa na namba zilizopiga wala kupigwa…
“We unan’tania siyo..?”
“Hata kidogo mama…”
“Ina maana hii simu yako hujapiga simu wala
kupigiwa..?”
“Leo kuna wakati nilitoa laini. Kwa hiyo
kuna uwezekano namba zote zilizopigwa na nilizopiga zimefutika zenyewe.”
Mama Joy alikubaliana na hilo, lakini alijua
mlinzi alifanya hivyo makusudi. Yaani alipomwambia akachukue simu, mlinzi
alipofika alitoa laini au alifuta namba zote ili kupoteza ushahidi kama
alimpigia baba Joy…
“Haya nenda,” alisema mama Joy. Mlinzi
alisimama, akaondoka bila kuaga.
Nyuma, mama Joy alianza kufikiria vitu
vyake…
“Huyu mlinzi atakuwa adui wangu kwa mzoa
taka. Kama anaweza kumpigia simu mume wangu kumwambia kuna mwanaume ameingia ni
tatizo, tena kubwa sana.
“Kule kwenye kibanda changu.”
“Nenda kailete haraka sana.”
Mlinzi alisimama na kutoka. Mama Joy aliwaza mengi kichwani mwake wakati
anamsubiri mlinzi…
“Huyu lazima alimpigia simu mume wangu,
akamwambia mzoa taka amekuja, maana jana si alisikia baba Joy alivyokuwa
akikataza watu kuingia? Lakini yeye alisema hataki watu waingie usiku, sasa
kwani saa hizi usiku?”
“Halafu ni kweli itakuwa yeye maana
hawapatani tangu zamani. Hata leo yenyewe pale getini si walibalulana kidogo.
Atakuwa yeye tu. Baba Joy alikuja akidhani atamkuta mzoa taka, bahati nzuri
kashaondoka.”
Mara, mlinzi aliingia…
“Iko wapi?”
“Hii hapa.”
Mama Joy aliipokea simu hiyo na kusachi
namba zilizopiga kwa siku hiyo, hakukuwa na namba zilizopiga wala kupigwa…
“We unan’tania siyo..?”
“Hata kidogo mama…”
“Ina maana hii simu yako hujapiga simu wala
kupigiwa..?”
“Leo kuna wakati nilitoa laini. Kwa hiyo
kuna uwezekano namba zote zilizopigwa na nilizopiga zimefutika zenyewe.”
Mama Joy alikubaliana na hilo, lakini alijua
mlinzi alifanya hivyo makusudi. Yaani alipomwambia akachukue simu, mlinzi
alipofika alitoa laini au alifuta namba zote ili kupoteza ushahidi kama
alimpigia baba Joy…
“Haya nenda,” alisema mama Joy. Mlinzi
alisimama, akaondoka bila kuaga.
Nyuma, mama Joy alianza kufikiria vitu
vyake…
“Huyu mlinzi atakuwa adui wangu kwa mzoa
taka. Kama anaweza kumpigia simu mume wangu kumwambia kuna mwanaume ameingia ni
tatizo, tena kubwa sana.
Saturday, August 3, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA.... 02..
Mtunzi_Na: IRENE MWAMFUPE NDAUKA
“Kwa hiyo akinikuta saa hizi humu ndani
kwake si ataniua?”
“
kwake si ataniua?”
“
Hawezi, ingawa ana bastola…”
“Mama mimi nakwenda, kumbe mumeo ana
bastola..!”
“Mama mimi nakwenda, kumbe mumeo ana
bastola..!”
“Hawezi kukuua, alisema hataki uingie usiku,
‘asa kwani saa hizi ni usiku?”
alisema
mama Joy huku akimsogelea mzoa taka huyo‘asa kwani saa hizi ni usiku?”
na kumshikashika kidevuni. Alizikuna ndevu zake chache…
“Una ooo nzuri kijana, sema tu hutaki
kuitunza…”
“Una macho mazuri, madogoooo, sema tu
unayashindisha juani mpaka yanakuwa mekundu, au unavuta bangi..?”
“Sivuti bangi mama…”
“Una midomo mizuri, minene halafu myeusi,
naipenda.” Hapo mama Joy vidole vyake vilikuwa vikicheza kwenye midomo ya mzoa
taka huyo ambaye alionekana hajapiga mswaki…
“Halafu kifua chako kimetuna vizuri sana, mi
nakipenda, unafanyaga mazoezi nini?”
“Nina muda huo mama, labda kimetuna chenyewe
tu.”
Mama Joy alimvutia kwake mzoa take,
akamgusanisha na kifua chake huku akizidi kummwagia sifa kibao…
“Halafu kifua chako kina joto zuri…”
“Asante mama…”
Wednesday, July 31, 2013
CHOMBEZO: KITANDA CHA MAMA MWENYE NYUMBA....SEHEMU YA.... 01
Mtunzi_Na: IRENE MWAMFUPE NDAUKA
“Mke wangu, kila
siku namwona huyu kijana mchafuchafu anakuja kuokota chupa tupu hapa, ina maana
tuna chupa tupu kila siku?”
siku namwona huyu kijana mchafuchafu anakuja kuokota chupa tupu hapa, ina maana
tuna chupa tupu kila siku?”
“Siyo hivyo mume
wangu, we hujamfuatilia tu, anakuja kila baada ya siku tano. Tumsaidie mume wangu,
si unamwona kijana mwenyewe masikini huyu,” alisema mama Joy huku macho yake
yote yakimwangalia yule kijana mwokota makopo…
wangu, we hujamfuatilia tu, anakuja kila baada ya siku tano. Tumsaidie mume wangu,
si unamwona kijana mwenyewe masikini huyu,” alisema mama Joy huku macho yake
yote yakimwangalia yule kijana mwokota makopo…
“Awe anakuja
mchana basi, usiku kama huu hapa nje, mimi naweza kumchapa risasi nikidhani
mwizi. Si unaona hata mavazi yake? Kwanza haogi huyu, hata harufu anatoa…”
mchana basi, usiku kama huu hapa nje, mimi naweza kumchapa risasi nikidhani
mwizi. Si unaona hata mavazi yake? Kwanza haogi huyu, hata harufu anatoa…”
“Mume wangu
usimkufuru Mungu, sisi kupewa uwezo ni matakwa yake, hakuna binadamu ambaye
akipewa nafasi ya kuchagua maisha bora na duni, atasema anataka duni.”
“Mimi sijafika
huko, ila nasema awe anakuja mchana tu si usiku kama huu.”
usimkufuru Mungu, sisi kupewa uwezo ni matakwa yake, hakuna binadamu ambaye
akipewa nafasi ya kuchagua maisha bora na duni, atasema anataka duni.”
“Mimi sijafika
huko, ila nasema awe anakuja mchana tu si usiku kama huu.”
“Sawa mume wangu,”
alisema mama. Hayo yalitendeka wakati
baba Joy akiegesha gari mahali pake kisha akashuka na kuanza kutembea mkononi
ameshika brifkesi yake. Siku hiyo, baba Junior alikuwa kama amevaa Kinaijeria
f’lani.
alisema mama. Hayo yalitendeka wakati
baba Joy akiegesha gari mahali pake kisha akashuka na kuanza kutembea mkononi
ameshika brifkesi yake. Siku hiyo, baba Junior alikuwa kama amevaa Kinaijeria
f’lani.
Mama Joy alimpokesa
mumewe brifkesi kisha akamwacha apite ili yeye amfuate kwa nyuma. Wakati mumewe
anaingia, mama Joy aligeuka kumwangalia mwokota chupa tupu ambaye kwa muda huo
alikuwa amebeba fukp la ‘salfeti’ begani.
mumewe brifkesi kisha akamwacha apite ili yeye amfuate kwa nyuma. Wakati mumewe
anaingia, mama Joy aligeuka kumwangalia mwokota chupa tupu ambaye kwa muda huo
alikuwa amebeba fukp la ‘salfeti’ begani.
Mama Joy alimwonesgha ishara kwamba aondoke haraka sana kwa vile mumewe amerudi. Kijana
wa watu, alitoka getini kwa kuruhusiwa na mlinzi.
wa watu, alitoka getini kwa kuruhusiwa na mlinzi.
Monday, April 15, 2013
SOME TEXT MISSING - 03
Chombezo na IRENE MWAMFUPE NDAUKA.
“Kwani kaka kasemaje?”
“Hakusikia kitu, alisikia zogo tu, nimemwambia nilikuwa namfokea msichana
wa kazi amekuwa mzembe sana siku hizi...
“Amekuelewa?”
“Amenielewa, si hakusikia kitu kabla.”
Shemeji alikuja akapiga magoti mbele yangu na kuanza kunishikashika
sehemu mbalimbali za mwili huku akiniangalia kwa macho yaliyojaa mwonekano wa
kulemewa na mahaba mazito.
Nilimsihi kuacha maana hali ya hatari ilishajitokeza...
“Hakuna hatari tene, nimeikabili sawasawa kama inavyotakiwa.”
Nilimuahidi shemeji anishikeshike baadaye badala ya muda ule, akanielewa
na kuniacha.
***
Nilikuwa chumbani nimelala, mlango ukasukumwa, akaingia shemeji...
“Shemeji amka ule, ukishakula oga tutatoka kama nilivyokwambia.”
Nilikurupuka, lakini shemeji wakati huo akawa ameshaondoka zake.
Niliamka, nikaenda kula sebuleni. Nilikula peke yangu, shemeji alikuwa na
mumewe chumbani. Nilipomaliza, nilirudi kulala. Nilikuja kushtuliwa saa tisa na
usingizi niliolala ulikuwa mzito sana...
“Sweet mbona leo unalalalala sana, una nini?” alisema shemeji akiwa
amepiga magoti chini na kunipapasa kifuani. Nilisikia raha sana, nikahisi kama
nipo ufukweni kwenye upepo mwanana.
“Nimechoka sana shemeji, si unajua asubuhi mara mbili?”
“Aah! Shemeji bwana, mbona mi’ bado mwenzio, unajua siku nyingi sana sijacheza mchezo
mzuri kama huu.”
Nilicheka kwa mbali, lakini shemeji yeye hakucheka, aliendelea kuutembeza
mkono wake kwenye kifua changu. Nilihisi kusisimka mwili, nikaingia hatua
nyingine ya kutamani kucheza mechi...
“Shemeji,” niliita...
“Bee...”
wa kazi amekuwa mzembe sana siku hizi...
“Amekuelewa?”
“Amenielewa, si hakusikia kitu kabla.”
Shemeji alikuja akapiga magoti mbele yangu na kuanza kunishikashika
sehemu mbalimbali za mwili huku akiniangalia kwa macho yaliyojaa mwonekano wa
kulemewa na mahaba mazito.
Nilimsihi kuacha maana hali ya hatari ilishajitokeza...
“Hakuna hatari tene, nimeikabili sawasawa kama inavyotakiwa.”
Nilimuahidi shemeji anishikeshike baadaye badala ya muda ule, akanielewa
na kuniacha.
***
Nilikuwa chumbani nimelala, mlango ukasukumwa, akaingia shemeji...
“Shemeji amka ule, ukishakula oga tutatoka kama nilivyokwambia.”
Nilikurupuka, lakini shemeji wakati huo akawa ameshaondoka zake.
Niliamka, nikaenda kula sebuleni. Nilikula peke yangu, shemeji alikuwa na
mumewe chumbani. Nilipomaliza, nilirudi kulala. Nilikuja kushtuliwa saa tisa na
usingizi niliolala ulikuwa mzito sana...
“Sweet mbona leo unalalalala sana, una nini?” alisema shemeji akiwa
amepiga magoti chini na kunipapasa kifuani. Nilisikia raha sana, nikahisi kama
nipo ufukweni kwenye upepo mwanana.
“Nimechoka sana shemeji, si unajua asubuhi mara mbili?”
“Aah! Shemeji bwana, mbona mi’ bado mwenzio, unajua siku nyingi sana sijacheza mchezo
mzuri kama huu.”
Nilicheka kwa mbali, lakini shemeji yeye hakucheka, aliendelea kuutembeza
mkono wake kwenye kifua changu. Nilihisi kusisimka mwili, nikaingia hatua
nyingine ya kutamani kucheza mechi...
“Shemeji,” niliita...
“Bee...”
Tuesday, March 12, 2013
SOME TEXT MISSING-02
maana nipo Dar kwa ajili hiyo.”
“Mbona sioni mchango
wako.”
“Ah! Shemeji lini
nimekataa kukusaidia?” “Siku zote tangu
ulipokuja,” aliniambia, lakini kitu cha ajabu nilimwona akiachia tabasamu laini
huku akiniangalia kwa macho yaliyojaa uchovu.
Nilishindwa kujizuia
na mimi nikacheka huku nikimwangalia kwa woga. Lakini kitu kimoja nilihisi kuna
kitu, mazungumzo yake hakuwa akitoa sauti ya juu. Ilikuwa kama vile hataki watu
wajue yuko chumbani kwangu.
“Shemeji nakuja sasa
hivi usitoke,” aliniambia akitoka kwa haraka.
Saturday, December 29, 2012
SOME TEXT MISSING-01
Mara yangu ya kwanza kuishi Ilala,
Dar es Salaam kwa muda mrefu ni pale nilipokwenda kumtembelea kaka Luka wakati anaumwa miguu kiasi cha
kushindwa kutembea hata hatua moja.
Mbaya zaidi, katika kipindi hichohicho akapata
ugonjwa wa kupooza ‘stroke’, hivyo wazazi wakaniambia nifunge biashara yangu ya
genge, pale Dodoma nije kumsadia
shemeji.

Kaka alikuwa hawezi kwenda chooni,
kwenda bafuni bila kupelekwa na mbaya zaidi kazini kwake, walishamtosa kiaina
kwani misaada ilipungua tofauti na zamani.
“Vipi nyumbani lakini, hajambo baba,
mama?” kaka aliniuliza.
“Kusema ukweli kaka wote wazima, ila
baba naye alikuwa akisumbuliwa na macho, lakini kwa sasa yuko sawasawa.”
“Asante sana kwa taarifa, mimi kama
unavyoniona, ni muda mrefu naumwa, niko ndani tu.”
“Pole sana kaka.”
“Asante mdogo wangu.”
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe