Young Africans watawakaribisha Azam FC katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam siku ya Jumamosi, huku timu zote zikiwa na pointi 15 kileleni zikitofautiana kwa magoli ya kufunga na kufungwa.
Wednesday, October 14, 2015
MECHI ZA LIGI KUU BARA WIKIENDI HIZI HAPA MWANAWONE
Young Africans watawakaribisha Azam FC katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam siku ya Jumamosi, huku timu zote zikiwa na pointi 15 kileleni zikitofautiana kwa magoli ya kufunga na kufungwa.
Wednesday, September 30, 2015
FC PORTO YAITWANGA CHELSEA 2-1
MASIKINI ARSENAL, YAPIGWA NA OLIMPIAKOS 2-1 IKIWA NYUMBANI, YASHIKA MKIA KUNDI F
NYOSSO AFUNGIWA KUCHEZA SOKA MIAKA MIWILI, APIGWA FAINI YA NOTI NOTI 200 ZA SH 10,000
Friday, August 28, 2015
LIONEL MESSI MCHEZAJI ULAYA
Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Lionel Messi.
MONACO, Ufaransa LIONEL Messi ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kumpiku Cristiano Ronaldo katika tuzo zilizotolewa jana ambazo pia dunia ilishuhudia Manchester United ikirejea kwenye michuano hiyo hatua ya makundi. Messi, staa wa Barcelona, aliingia hatua ya fainali ya tuzo hizo pamoja na straika wa timu yake, Luis Suarez pamoja na Ronaldo wa Real Madrid, ambapo waandishi wa habari wa michezo ndiyo waliompigia kura.
Upande wa Man United ambao ni mabingwa wa michuano hiyo mwaka 2008, wamepangwa katika kundi ambalo linaonekana kuwa jepesi kwao ambapo wapo Kundi B wakiwa pamoja na PSV Eindhoven ya Uholanzi, CSKA Moscow (Urusi) na Wolfsburg (Ujerumani).

Lionel Messi (kushoto)akipokea tuzo ya mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kutoka kwa Michel Platini (kulia) na Cristiano Ronaldo akiwa kwa nyuma.
Vijana wa Kocha Arsene Wenger, Arsenal, wamepangwa Kundi F wakiwa pamoja na vigogo wenzao, Bayern Munich ya Ujerumani pamoja na Olympiacos (Ugiriki) na Dinamo Zagreb (Croatia). Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho atakutana na timu yake ya zamani ya FC Porto katika Kundi G, ambapo wapo pamoja na timu za Dynamo Kyiv na Maccabi Tel Aviv. Ratiba kamili na jinsi makundi yalivyopangwa soma ukurasa wa 24.
Saturday, August 8, 2015
Usiku wa Mastaa Temeke… Kitaelekeweka tu leo
Simba yashusha kipa Mbrazili straika wa Mali
Sunday, August 2, 2015
Azam FC bingwa Kombe la Kagame


Mabao ya Azam yamefungwa na John Bocco dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 64.

Vikosi vilikuwa hivi:
Azam FC; Aishi Manula, Aggrey Morris, Morald Said, Pascal Wawa, Farid Mussa/Erasto Nyoni dk 46, Shomari Kapombe, Jean Mugiraneza, Himid Mao, Ame Ali/Frank Domayo dk 69, John Bocco na Kipre Tchetche/dk 88.
Arsenal yatwaa Ngao ya Jamii


Bao hilo pekee la Arsenal limewekwa kimiani na Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Theo Walcott.
Mechi hiyo ya leo imepigwa kwenye Uwanja wa Wembley ikiwa ni maalum kwa ajli ya kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu ya England.

Kwa matokeo ya leo, Arsenal wamevunja historia ya kuifunga Chelsea ikiongozwa na Mourinho huku uhasama wa makocha wa timu hizo Arsene Wenger na Jose Mourinho ukionekana kushamiri baada ya Wenger kukataa kumpa mkono Mourinho mara baada ya mechi kumalizika.
Thursday, July 16, 2015
VAN GAAL ATAJA SABABU ZA 'KUMTIMUA' VALDES MAN UNITED, NI KIBURI NA MKAIDI
Monday, July 13, 2015
Okwi amvuta Tambwe Denmark
Dar es Salaam
SIKU chache baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, kutimkia zake nchini Denmark katika Klabu ya Sonderjyske Fodbold, amemvuta nchini humo nyota wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe.
Okwi amejiunga na Sonderjyske Fodboldn hivi karibuni baada ya uongozi wa klabu hiyo kuvutiwa na kazi yake ambayo amekuwa akionyesha uwanjani akiwa na kikosi cha Simba na atakuwa akilipwa kitita cha dola 10,000 (zaidi ya Sh milioni 20) kwa mwezi.
Yanga wamtwisha zigo Magufuli
SIKU moja tu baada ya kuibuka na ushindi wa kishindo na kupata nafasi ya mgombea wa urais kupitia chama kikongwe nchini cha CCM, Dk John Pombe Magufuli, tayari ameshauriwa mambo kadhaa kama moja ya mizigo anayotakiwa kuipatia ufumbuzi akishinda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Lakini Simba na baadaye Azam FC ambazo ndizo klabu kubwa zinazochuana sasa katika kipindi hiki, nazo zikatoa yao kwa Magufuli.
Yanga:
Friday, June 26, 2015
Real Madrid wametoa uamuzi kuhusu kumuuza Sergio Ramos Man United

Saa zisizopungua 48 baada ya klabu ya Manchester United kuripotiwa kutuma ofa ya kumsajili beki wa kimataifa wa Spain, Sergio Ramos, klabu yake ya Real Madrid imepokea ofa hiyo na imetoa uamuzi.
Manchester
United, juzi walituma ofa ya £35million kwa ajili ya kupata saini ya
Ramos na klabu ya Madrid wameipiga chini ofa hiyo.Monday, June 8, 2015
MAKOSA 10 MKATABA WA SIMBA, SINGANO
SAKATA kubwa linaloutikisa mpira wa Tanzania sasa ni ule mkataba kati ya kiungo Ramadhani Singano ‘Messi’ na klabu yake ya Simba.Messi anasema mkataba wake unaisha 2015, lakini Simba inasisitiza mkataba wao na Messi unaisha mwaka 2016, jambo ambalo linazua tafrani kubwa.
Wednesday, June 3, 2015
BLATTER AJIUZULU URAIS FIFA

Taarifa iliyotolewa leo makao makuu ya FIFA mjini Zurich, Uswisi, Blatter amesema anaondoka baada ya miaka 17 kama mtu mwenye nguvu katika soka.
Monday, May 25, 2015
Drogba kuondoka Chelsea

Ningependa kucheza tena kwa msimu mmoja zaidi na kwa hilo kufanikiwa itabidi nihamie kilabu nyengine aliuambia mtandao wa Chelsea.
Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho alimsajili kwa mara ya pili Drogba kwa kandarasi ya mwaka mmoja baada ya kuondoka Galatasaray.
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
Jana
jumapili tarehe 24, Mei 2015 Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira
wa Miguu nchini TFF imeketi katika ukumbi uliopo makao makuu ya
Shirikisho uwanja wa Karume.Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo:
CLUB LICENCING (Leseni za vilabu)
Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo haitakamilisha mchakato huo haitaruhusiwa kushiriki ligi kuu ifikapo msimu wa 2015/16.
KOMPYUTA - Kutokana na maamuzi ya mkutano mkuu wa TFF uliofanyika Morogoro ambao uliagiza wanachama wake wapya wapewe kompyuta, agizo hilo limetekelezwa na kompyuta hizo watakabidhiwa wajumbe wa Kamati ya Utendaji wanaotoka kanda hizo ili waziwakilishe maeneo husika. Mikoa hiyo ni Geita, Katavi, Manyara, Njombe na Simiyu.
MFUKO WA FDF - Kufuatia mkutano mkuu wa TFF kuingiza kipengele cha FDF katika katiba yake, kikao cha Kamati ya Utendaji wa mujibu wa katiba kimepitisha kanuni za uendeshaji wa mfuko huo.
Aidha kikao hicho kimeteua wajumbe wafuatao wawe wajumbe wa tume hiyo
(i)Tido Mhando - Mwenyekiti,
(ii) Deogratius Lyatto - Makamu mwenyekiti
(iii)Ephraim Mafuru - mjumbe,
(iv)Beatrice Singano - mjumbe,
(v)Joseph Kahama - mjumbe
(vi)Ayoub Chamshana - mjumbe.
Pia Henry Tandau ameteuliwa kuwa katibu mtendaji wa mfuko huo.
Tuesday, May 19, 2015
TAIFA STARS YAANZA VIBAYA COSAFA, YAFUNGWA NA SWAZILAND BAO 1-0
Beki wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shomari Kapombe (kulia) akichuana na mchezaji wa Swaziland kwenye mchezo wao wa jana uliopigwa kwenye Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace katika michuano ya Cosafa inayoendelea huko Afrika Kusini. Stars ilifungwa bao 1-0.
Kiungo
wa Stars, Erasto Nyoni akijaribu kumtoka mchezaji wa Swaziland katika
mtanange huo wa kwanza wa Stars katika michuano hiyo.Matokeo hayo yanaiweka Stars inayofundishwa na Mholanzi, Mart Nooij katika mazingira magumu ya kwenda Robo Fainali baada ya Madagascar kuifunga 2-1 Lesotho katika mchezo wao wa kwanza.
Inaelezwa kuwa Nooij anaweza kuwa kwenye wakati mgumu kwa sasa baada ya kufungwa mechi hiyo pamoja na matokeo mengine ya mechi zilizopita za timu hiyo.
Saturday, May 9, 2015
Yanga yamuuza Msuva Sh bilioni moja
Winga wa Yanga, Simon Msuva.
Na Wilbert Molandi
Dar es SalaamWINGA wa Yanga, Simon Msuva anaendelea vizuri na majaribio katika kikosi cha Bidvest Wits ya Afrika Kusini, uongozi wa timu yake umesema kama akifuzu upo tayari kumuuza kwa dau la dola 700,000 (zaidi ya Sh Bilioni 1.3).
Yanga imeamua kukata mzizi wa fitina baada ya Msuva kutoroshwa katikati ya wiki hii kwenda Afrika Kusini kufanya majaribio katika klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini (PSL).
Msuva ambaye mkataba wake unafikia tamati msimu ujao, leo anamaliza majaribio na kurejea nchini usiku na kama akifuzu atakuwa ameitajirisha klabu yake ambayo tayari imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ambapo leo inakamilisha ratiba kwa kucheza na Ndanda FC kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.










Isha Mashauzi.












