EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, July 23, 2012

WOLPER, UWOYA WAPATANISHWA TENA LAIVU



Jacqueline Wolper na  Irene Uwoya.
Stori: Shakoor Jongo
TAKRIBANI siku 15 tangu wasanii Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyeinye’ na Jacqueline Wolper Masawe wapatanishwe na kumaliza tofauti zao, Ijumaa Wikienda linakuwa la kwanza kukujuza kuwa naye Irene Pancras Uwoya na Wolper wamepatanishwa.
Mchakato huo wa kumaliza tofauti na kuanza ukurasa mpya ulianza takribani miezi miwili iliyopita hadi Julai 18, mwaka huu, ulipofikia tamati pale Samaki-Samaki, Mlimani City jijini Dar es Salaam.
CHANZO CHA HABARI
Kikizungumza na Ijumaa Wikienda, chanzo makini kilichohusika na upatanisho huo, kilisema siku hiyo ya Jumatano wiki iliyopita, ndiyo ulikuwa mwisho wa mastaa hao wawili kutofautiana.
“Njoo fasta hapa Samaki-Samaki, yule Daudi Kipunguni mliyemwandika kanaswa na Sylvia Shally anawapatanisha Uwoya na Wolper.

IJUMAA WIKIENDA MZIGONI
Baada ya kumwagiwa ‘upupu’ huo, Ijumaa Wikienda lilitia timu Mlimani City lakini kutokana na foleni za jijini Dar halikuwakuta.
Baada ya kuwakosa, paparazi wetu alimwendea hewani shuhuda wa tukio hilo ambaye aliendelea kuthibitisha kuwa ni kweli wawili hao wamesuluhishwa.

SH. MILIONI 7 ZATUMIKA
Ijumaa Wikienda lilipododosa kuhusu mchakato huo ulianza lini na kama kuna gharama zozote zilizotumika, shushushu huyo alidai kuwa alimsikia Daudi (mpatanishi) akisema kuwa zoezi hilo lilichukua muda mrefu na kama ni suala la gharama siyo chini ya Sh. milioni 7.

WOLPER ANASEMAJE?
Akizungumza na Ijumaa Wikienda kuhusu ishu hiyo, mbali na kukiri kukutana na Uwoya Mlimani City, Wolper alifunguka kuwa walikutana mahali hapo kwa ajili ya chakula cha pamoja cha mchana.
“Tumemaliza tofauti zetu, sasa ni kazi tu ili kuelimisha jamii, mabifu hayana nafasi tena,” alisema Wolper.

UWOYA KAMA KAWA
Uwoya kama kawaida yake hakupatikana kwa kuwa siku hizi hana namba ya kumpata muda wote kwani zile za zamani zote hazipatikani.
WEMA ATIA NENO
Naye staa asiyechuja, Wema
Sepetu aliposikia upatanisho wa Wolper na Uwoya alikuwa na haya ya kusema:
“Sasa naamini mashabiki wetu watapata ladha yetu ambayo inawezekana waliipoteza siku nyingi, nimefurahi sana.”
KWANI TATIZO LILIKUWA NI NINI?
Miezi kadhaa Wolper na Uwoya waliingia kwenye vita nzito kisa kikiwa ni mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Ababuu ambaye alikuwa mchumba wa Wolper kabla ya baadaye kuwepo kwa tuhuma kuwa Uwoya alimkwapua.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate