RAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA APRM NA AU JIJINI ADDIS ABABA
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mkutano wa wakuu wa nchi za Umoja wa
Afrika Wanachama wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM)
baada ya kuwasilisha ripoti ya Tanzania usiku wa kuamkia Januari 27,
2013 katika makao makuu ya nchi za Afrika jijini Addis Ababa.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakitoka nje ya ukumbi
baada ya kuhutubia mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika Wanachama
wa Mpango wa Afrika Kujitathmini Kiutawala Bora (APRM) baada ya
kuwasilisha ripoti ya Tanzania usiku wa kuamkia Januari 27, 2013 katika
makao makuu ya nchi za Afrika jijini Addis Ababa.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa nane toka kulia) akiwa na viongozi
wenzake katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa 18
wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Januari 27, 2013. (PICHA NA IKULU)
No comments:
Post a Comment