EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, February 7, 2013

Msuya alazwa Hospitali ya Moi

WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya amelazwa katika Taasisi ya Mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi).
 
Msuya mwenye umri wa miaka 83, alifikishwa hospitalini hapo kwa matibabu Februari 4, mwaka huu baada ya kuugua kwa muda mfupi. Mwanasiasa huyo mkongwe amelazwa kwenye vyumba vya sehemu ya kulipia vya hospitali hiyo.

Akizungumza na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Moi, Almas Jumaa alithibitisha kupokelewa kwa Msuya na kudai kuwa bado anaendelea na matibabu.
“Ni kweli tumempokea Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya tangu Februari 4, mwaka huu, yupo chini ya uangalizi maalumu kwa ajili ya matibabu zaidi,” alisema Jumaa.

Jumaa alisema Msuya, ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Mwanga, anashughulikiwa na jopo la madaktari bingwa kutoka Muhimbili na Moi ili waweze kujua maradhi yanayomsumbua.

Jumaa alisema kuwa kwa sasa hali yake inaendelea vizuri ikilinganishwa na kipindi alichofikishwa na kwamba madaktari wanaendelea na uchunguzi zaidi.

Msuya, ambaye alizaliwa Novemba 4, 1931, ni kati ya wanasiasa maarufu nchini kutokana na kuwahi kuwa Waziri Mkuu katika vipindi viwili tofauti.

Mara ya kwanza alikuwa Waziri Mkuu kuanzia mwaka 1980 hadi 1983 wakati wa utawala wa Awamu ya Kwanza wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere.

Pia aliteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mwaka 1994 hadi 1995 wakati wa utawala wa Awamu ya Pili uliokuwa chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Msuya, ambaye aliitumikia Serikali kwa muda mrefu kuanzia kipindi cha ukoloni hadi Tanzania ilipokuwa huru alipomaliza Chuo Kikuu cha Makerere huko Uganda, pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha, pia Viwanda.
Kwa nyakati tofauti aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara za Ardhi, Fedha, Maji na ile ya Utamaduni na Ustawi wa Jamii.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate