EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, December 30, 2013

Imani za kishirikna zimezidi kuchukua sura mpya mkoani Mbeya baada ya mwanamke aliyefahamika kwa jina la Lucy Frank[55]mkazi wa Manyoni Singida kudai kamba iliyotumika kushushia jeneza la marehemu dada yake apewe ili aende nayo Singida

 viongozi wa Muungano wa jamii Tanzania[MUJATA]akiwemo Soja Masoko,Abdul Aziz,Diwani Kata ya Mwakibete Lucas Mwampiki na Chifu Shadrack Merere kutoka Mbarali.
Kamaba tayari kwa kuchomwa
 mwenyekiti wa mtaa Bwana Ndongole Mwatebele
akitoa maelezo mafupi kwa machifu 
Chifu Merere alitaka amani katika mtaa huo na kuamua kuiteketeza kamba kwa moto huku umati ukishuhudia tukio hilo na chifu kuahidi kumrejesha kwa mazingara eneo la Mwakibete ili ajibu tuhuma zinazomkabili mtuhumiwa huyo
Wakazi wa Mwakibete wakishuhudia kuchomwa kwa kamba hiyo
Imani za kishirikna zimezidi kuchukua sura mpya mkoani Mbeya baada ya mwanamke aliyefahamika kwa jina la Lucy Frank[55]mkazi wa Manyoni Singida kudai kamba iliyotumika kushushia jeneza la marehemu dada yake apewe ili aende nayo Singida.

Kauli hiyo aliitoa katika msiba wa marehemu dada yake aliyefahamika kwa jina la Elizabeth Sibonike[81] aliyefariki ghafla Novemba 19 mwaka huu katika mtaa wa Viwandani kata ya Mwakibete na mazishi yake kufanyika Novemba 21 mwaka huu.

Baada ya mazishi Lucy alidai dada yake kuwa kadhalilishwa kwa kuzikwa kwenye jeneza kubwa na kushushwa kaburini kwa kutumia kamba aina ya manila,akidai vijana walimtuhumu marehemu kuwa ni mshirikina hali iliyomkasirisha.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke Lucy Frank alitamka msibani kuwa yeyote aligusa kamba makaburini atakufa hali ambayo iliwaudhi wakazi wa mtaa huo na kumtaka mwenyekiti wa mtaa Bwana Ndongole Mwatebele kuichukua kamba hiyo na kuitisha mkutano wa hadhara ili mwanamke huyo kutoka Manyoni aeleze umma sababu za kitaka kamba hiyo.

Hata hivyo wananchi wa mtaa wa Viwandani wakitafakari hayo kijana mmoja miongoni mwa waliokamata kamba makaburini  aitwaye Julius Mwandambo alifariki kwa kugongwa na gari eneo la mama John Desemba 15 mwaka huu hali iliyowafanya wananchi kutaharuki.

Wakati taratibu za mazishi zikiendelea Desemba 16 wakati picha ya marehemu ikitembezwa barabarani mtoto wa Lucy alisikika akisema kama aliyefariki ni huyu, bado wengine watafuata hali iliyowafanya vijana kugoma kuchimba kaburi mpaka atafutwe huyo mama na mwanae ili waeleze kauli zao zina mantiki gani.

Katika hali hiyo ya mtafaruku mama huyo na mwanae walienda kuhojiwa kituo cha Polisi kati ambapo mtoto alikiri kutamka maneno hayo ingawa alisema kuwa hakujitambua hivyo anaomba radhi.
Huku wananchi wakimsubiria mwanamke huyo na mwanae kwenye mkutano ilidaiwa kutoroka kwenda Singida na kwamba wananchi hawako tayari kuwaona warudi mtaani hapo.

Mkutano ulioitishwa Desemba 27 mwaka huu ulioitishwa na viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa Muungano wa jamii Tanzania[MUJATA]akiwemo Soja Masoko,Abdul Aziz,Diwani Kata ya Mwakibete Lucas Mwampiki na Chifu Shadrack Merere kutoka Mbarali.

Chifu Merere alitaka amani katika mtaa huo na kuamua kuiteketeza kamba kwa moto huku umati ukishuhudia tukio hilo na chifu kuahidi kumrejesha kwa mazingara eneo la Mwakibete ili ajibu tuhuma zinazomkabili


Na Ezekia Kamanga
Mbeya yetu

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate