Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Lulu alisema tangu ametoka gerezani ameamua kujiweka pembeni na kilevi hicho na kwamba bora aitwe mshamba.
“Kiukweli nikiiona pombe kuna wakati naipa shikamoo kwani ndiyo kichocheo cha kila baya hapa duniani, watakaoniona mshamba kwa kubadilika kwangu wanione hivyohivyo,” alisema Lulu.
Msanii
huyo kipindi cha nyumba alikuwa hakamatiki kwa kilevi na kuna wakati
aliwahi kuzimika alipofakamia pombe za ofa alipokuwa ndani ya Ukumbi wa
Maisha Club, jijini Dar.

No comments:
Post a Comment