EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, July 7, 2014

MCHUNGAJI ANASWA AKITAKA KUJIVINJARI NA MKE WA MTU

HEE! Baba mchungaji, ni nini hiyo? Ndivyo walivyosikika wakiuliza baadhi ya watu waliokatiza kwa Mchungaji Michael Semeni wa Kanisa la Living Word Ministry lililopo Ukonga- Majumba Sita jijini Dar es Salaam.
Baba mchungaji wa Kanisa la Living Word Ministry, Michael Semeni baada ya kunaswa akiwa na mke wa mtu.
Mkasa mzima ulijiri Julai 3, 2014 ndani ya ofisi za mchungaji huyo huku mlalamikaji mkuu akiwa na mwanaume aliyedaiwa kuwa ni mume wa mwanamke aliyekutwa na Semeni.
Sekeseke hilo lilitokana na madai kwamba, Mchungaji Semeni alinaswa akiwa na mwanamke huyo aitwaye Erizabert Kisanda, mkazi wa jijini Mwanza ambaye alifika Dar kuonana naye kwa ajili ya kumwombea maombi maalum ya kiroho ‘deliverance’ kutokana na matatizo ya mke huyo kushika mimba na kutoka kila wakati.

OFM KAMA KAWAIDA YAKE
Siku ya tukio, makamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) walikuwa mitaani katika viunga mbalimbali vya Jiji la Dar wakisaka matukio, ndipo walipojikuta wakitokea eneo lenye kimbembe.
Baadhi ya watu waliozungumza na Ijumaa Wikienda walidai kuwa mchungaji huyo alinaswa na mke huyo wa mtu hivyo kuzua tafrani kati yake na mwanaume anayedaiwa ni mumewe.
Mchungaji akihojiwa na kamanda aliyeshirikiana na OFM katika operesheni hiyo ya kufichua uovu kanisani hapo.
MTU WA KARIBU
Akizungumza na gezeti katika eneo la tukio, mtu mmoja aliyedai ni ndugu wa mwanamke huyo alisema:
“Iko hivi! Huyu mwanamke alikuja Dar kwa mchungaji kwa lengo la kuombewa apate mtoto. Alikuwa na tatizo la uzazi kwani kila alipopata ujauzito, akikaribia kujifungua tu mimba inaharibika.
“Kutokana na tatizo hilo, ndipo akashauriwa akamwone mchungaji huyo ndipo akafunga safari kwenda kumuona na kumweleza tatizo lake, mchungaji akamwambia ni tatizo dogo sana kwake.”
AHADI YAPANGWA
Ilizidi kudaiwa na ndugu huyo kwamba, ahadi ilipangwa ambapo mwanamke huyo alitakiwa kurudi siku hiyo ya tukio.
Mchungaji akichukuliwa kwenda polisi.
MAOMBI YALIVYOKUWA
Mambo yaliendelea kuhabarisha kwamba, siku ya tukio, mwanamke huyo alifika kuombewa ambapo mchungaji  huyo alizama kiroho zaidi kwa muda wa saa mbili, yaani dakika mia na ishirini.
“Baada ya kumaliza maombi hayo ndani ya kanisa ndipo mchungaji huyo akamchombeza kwa kumwambia wazame chumbani akamwombee zaidi,” chanzo kilisema.
AKUTWA NA PENSI!
Wapashaji wa mkasa huu wanadai kuwa wakiwa chumbani sasa, mke hana nguo, mchungaji akiwa ndani ya kipensi tu, mwanaume aliyedaiwa ni mume na dada yake walitokea kusikojulikana na kuwavaa.
Huu ni mwonekano wa ndani wa kanisa la Living Word Ministry lililopo Ukonga, Majumba Sita jijini Dar es Salaam.
NENO SAMAHANI
Baada ya kunaswa, mchungaji huyo alirudiwa na fahamu na kuanza kuomba asamehewe huku akimlaumu shetani kwamba alimpitia naye akapitika kweli.
“Duh! Yamenikuta jamani, naomba mnisamehe ni shetani tu alinipitia,” alisikika akisema mchungaji huyo.
MUME ALIJUA?
Swali kubwa lililotawala eneo la tukio ni kuibuka kwa mwanaume huyo, kwamba alijua mkewe anakwenda kwa mchungaji huyo?
Baadhi ya watu walisikika wakisema kuwa wana wasiwasi kwamba, mwanaume huyo, mkewe na mawifi walijua litakalokwenda kutokea kwa mtumishi huyo wa Mungu hivyo walimtega naye akauingia mtego huo!
Bango linaloonyenesha ratiba za ibada zinazofanyika kanisani hapo.
ALICHOMWA?
Maneno ya watu ni mengi sana, mawifi nao walisikika wakimsakama mchungaji kwa kudai kuwa alizoea kuchezea wengine lakini si kwa wifi yao huyo bila kufafanua maana ya madai yao hayo hivyo kujenga dhana kwamba huenda kuna watu walimchoma mchungaji huyo kwa mume wa mwanamke huyo.
NI KWELI MIMBA HUHARIBIKA?
Baada ya kumalizika kwa tafrani hiyo, OFM walipenda kujua kama madai ya mwanamke huyo kuharibu mimba kila anapokaribia kujifungua ni ya kweli, wifi mmoja alithibitisha ni kweli na kwamba, mwanamke huyo ameshazunguka sana kutafuta dawa ya kuondoa tatizo hilo lakini wapi!
MALALAMIKO KUHUSU MAOMBI YA DELIVERANCE
Kumekuwa na malalamiko kadhaa kutoka kwa baadhi ya waumini wa Kikristo nchini wakilalamikia maombi ya deliverance yanayofanywa na baadhi ya wachungaji, wengine wakisemekana kutumia nafasi hiyo kuzini na wake za watu.
Maombi hayo yanayofanywa na baadhi ya watumishi wa Mungu, hupewa kipaumbele cha muombewa na mwombaji kuwa wawili tu, wakati mwingine hufanyika nje ya kanisa kama hotelini au gesti!
CHANZO NI GPL

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate