August Alsina.
Mwakilishi wa mwanamuziki huyo amesema August yupo ICU katika hospitali moja jijini New York City anapoendelea kupata matibabu.Taarifa zinaeleza kuwa madaktari hawakukuta dawa zaidi ya bangi mwilini mwake hivyo wanaamini kuanguka kwake stejini kulitokana na uchovu na kukosa maji.
No comments:
Post a Comment