Ni sheedah! Pamoja na 
kukanusha kwa kutumia nguvu kubwa, nyuma ya ushosti wa mastaa grade one 
wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Aunty Ezekiel 
kuna siri nzito ikidaiwa kwamba wawili hao husagana.
Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Aunty Ezekiel wakidendeka hadhalani.
Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Aunty Ezekiel wakidendeka hadhalani.
TUKIO BICHI 
Madai hayo ya muda mrefu huku wenyewe wakisisitiza si ya kweli, yameibuka upya juzikati baada ya warembo hao kuonesha mahaba niue au nikongorowe kisha ‘kudendeka’ hadharani na kusababisha mwandani wa Wema, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kukasirika na kuondoka eneo la tukio akiambatana na timu yake ya Wasafi Classic Baby (WCB).
Madai hayo ya muda mrefu huku wenyewe wakisisitiza si ya kweli, yameibuka upya juzikati baada ya warembo hao kuonesha mahaba niue au nikongorowe kisha ‘kudendeka’ hadharani na kusababisha mwandani wa Wema, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kukasirika na kuondoka eneo la tukio akiambatana na timu yake ya Wasafi Classic Baby (WCB).
ILIKUWAJE? Tukio hilo lililoshuhudiwa na wanahabari wetu lilijiri 
usiku wa kuamkia Oktoba 28, mwaka huu ndani ya Mgahawa wa Rodizio, 
Masaki jijini Dar ambapo Aunty alikuwa akisherehekea siku ya yake ya 
kuzaliwa ‘bethidei’.
WEMA ATOKEA DUBAI 
Shughuli hiyo ilitawaliwa na matukio baada ya Wema kuwasili ukumbini hapo akitokea nchini China kupitia Dubai alikokwenda hivi karibuni kwa biashara binafsi ikidaiwa kwamba amerejea na mkwanja wa kutosha.
Shughuli hiyo ilitawaliwa na matukio baada ya Wema kuwasili ukumbini hapo akitokea nchini China kupitia Dubai alikokwenda hivi karibuni kwa biashara binafsi ikidaiwa kwamba amerejea na mkwanja wa kutosha.
Wema alitinga ukumbini hapo saa 7:15 usiku 
na kuwakuta wadau wakiendelea na sherehe hiyo ambapo mara tu baada ya 
kufika alikumbatiana kimahaba na  Aunty zoezi lililochukua dakika kadhaa
 wakiwa wamenasiana huku wakifunika nyuso zao kwa zile nywele nyingi za 
Wema hivyo kilichoendelea humo ndani hakikujulikana. Walipojifunua 
kwenye nywele ndipo ikabaini kwamba kumbe walikuwa ‘wakidendeka’ bila 
kujali wingi wa kamera.
WASHUTUMIWA 
“Mungu wangu, leo mambo hadharani. Mbona ni sheedah? Yaani wanadendeka hadharani! Kwa vyovyote vile Wema na Aunty husagana,” alisikika mmoja wa waalikwa.
“Mungu wangu, leo mambo hadharani. Mbona ni sheedah? Yaani wanadendeka hadharani! Kwa vyovyote vile Wema na Aunty husagana,” alisikika mmoja wa waalikwa.
Staa wa Filamu Bongo, Aunt Ezekiel akikata keki  ya bethidei yake ndani ya Ukumbi uliyopo kwenye   Mgahawa wa Rodizio Masaki.
Mmoja wa waigizaji chipukizi alidakia: 
“Yaani utadhani wapenzi kabisa maana kila mmoja anaonesha hisia za 
kumisiana. Hawaogopi kuambiwa wanasagana? Haya bwana, yetu macho maana 
leo tutaona mengi. Vitendo kama hivi ni vya kulaaniwa vikali na 
kuwakumbusha kwamba wao ni kioo cha jamii.”
DIAMOND AKASIRIKA, AONDOKA 
Kufuatia hali hiyo, Diamond alionekana kukasirika na kushindwa kuvumilia hivyo aliamua kuwaacha wajinafasi kwa kuondoka ukumbini akiwa ameambatana na timu yake. Waalikwa waliokuwa ndani ya ukumbi huo waliendelea kupigwa butwaa na kitendo hicho hasa Diamond alipoamua kusepa huku nyuma Wema na Aunty wakibaki huru na kuendelea kufanyiana mambo ya kimahaba mara nyingine wakati wakilishana keki kwa staili ya njiwa.
Kufuatia hali hiyo, Diamond alionekana kukasirika na kushindwa kuvumilia hivyo aliamua kuwaacha wajinafasi kwa kuondoka ukumbini akiwa ameambatana na timu yake. Waalikwa waliokuwa ndani ya ukumbi huo waliendelea kupigwa butwaa na kitendo hicho hasa Diamond alipoamua kusepa huku nyuma Wema na Aunty wakibaki huru na kuendelea kufanyiana mambo ya kimahaba mara nyingine wakati wakilishana keki kwa staili ya njiwa.
AMANI LAMVAA AUNTY 
Baada ya kuona hali hiyo, paparazi wa Amani aliyekuwa ukumbini hapo alimvaa Aunty na kumuuliza kwa nini ameamua kuonesha hali hiyo mbele ya kadamnasi ambapo alijibu hakuna mambo ya usagaji. Alisema hali hiyo ilitokea tu maana yeye na Wema ni marafiki ambao wameshapitiliza hivyo wamejikuta wakiwa kwenye hali hiyo bila wao kuona kama ni tatizo. “Kwani nani asiyejua kama mimi na Wema ni marafiki, suala la kukisiana ni jambo la kawaida kwetu.
Baada ya kuona hali hiyo, paparazi wa Amani aliyekuwa ukumbini hapo alimvaa Aunty na kumuuliza kwa nini ameamua kuonesha hali hiyo mbele ya kadamnasi ambapo alijibu hakuna mambo ya usagaji. Alisema hali hiyo ilitokea tu maana yeye na Wema ni marafiki ambao wameshapitiliza hivyo wamejikuta wakiwa kwenye hali hiyo bila wao kuona kama ni tatizo. “Kwani nani asiyejua kama mimi na Wema ni marafiki, suala la kukisiana ni jambo la kawaida kwetu.
MAMA LA MAMA  
Kwa upande wake mama la mama Wema aliishia kusema kuwa alimmisi sana shoga’ke na hakuna jambo la ajabu ambalo amelifanya juu yake maana wao ni marafiki kama marafiki wengine.
Kwa upande wake mama la mama Wema aliishia kusema kuwa alimmisi sana shoga’ke na hakuna jambo la ajabu ambalo amelifanya juu yake maana wao ni marafiki kama marafiki wengine.
TUJIKUMBUSHE
Kwa muda mrefu Wema na Aunty wamekuwa marafiki ambapo kila mmoja 
hulala kwa mwenzake tena kitanda kimoja tangu Wema alipotofautiana na 
Kajala Masanja ambaye naye aliwahi kuhusishwa na masula ya usagaji na 
staa huyo mkubwa asiyechuja.




No comments:
Post a Comment