EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, October 2, 2014

ORIFLAME TANZANIA YATOA AJIRA KWA VIJANA 60,000 NCHINI- YATANGAZA BIDHAA ZAKE MPYA


 Mkurugenzi Mwandamizi wa Kampuni hiyo, Japhet Naftal (kulia), akiwapigisha makofi wanachama wa Oriflame baada ya kuzungumza nao katika hafla hiyo ya kutangaza bidhaa mpya za Kampuni hiyo iliyofanyika katika ofisi zao Dar es Salaam leo jioni zilizopo Posta Mpya ghorofa la Benjamin William Mkapa Towers Mezzanine Floor..
 Meneja Mkazi wa Oriflame Tanzania, Fortunata Nkya (kulia), akizungumza na wanachama wa kampuni hiyo kuhusu bidhaa mpya na mipango ya miezi mitatu ya kampuni hiyo. Moja ya bidhaa mpya iliyonadiwa na kutangazwa ni The One Make -Up sanjari na kuzindua kitabu chenye bidhaa mbalimbali za urembo kiitwacho Your Dreams-Our Inspiration kitakacho kuwa sokoni kuanzia leo  Oktoba 1 hadi Desemba 31-2014.
 Viongozi wa Kampuni hiyo wakitambulishwa kwa wanachama. Kutoka kushoto ni Jesca Nisege, Meshack Wayanje, Julieth Msofe, Clara Wekwe, Christina Basil, James Mwangamba na Nasra Mohamed.
 Wanachama wa Oriflame Tanzania wakimsikiliza kwa makini Meneja Mkazi, Fortunata Nkya wakati akielezea mambo mbalimbali ya kampuni hiyo.
 Wanachama wa Oriflame Tanzania wakimsikiliza kwa makini Meneja Mkazi, Fortunata Nkya wakati akielezea mambo mbalimbali ya kampuni hiyo.
 Warembo wa Oriflame wakiwa katika sura ng'avu baada ya kutumia vipodozi vinavyosambazwa na kampuni hiyo hakika wanapendeza,  wakina mama nunueni vipodozi vya Oriflame ili mpendeze kama akina dada hawa. Kutoka kushoto ni mrembo Monica Mhando, Zainabu Ali na Suhaila Abdallah.
 Ofisa Mwandamizi wa Oriflame Tanzania, James Mwangamba akihojiwa na wanahabari hapo anaelezea mafanikio makubwa yaliyofikiwa na kampuni hiyo.
Wanachama wa Oriflame wakishangilia katika hafla hiyo.
Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Oriflame Tanzania inayouza vipodozi asilia imetoa ajira kwa vijana 60,000 wa kitanzania kwa kusambaza na kuuza bidhaa zake.
Hayo yalibainishwa na Meneja Mkazi wa Oriflame Tanzania, Fortunata Nkya wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo katika hafla ya kutangaza bidhaa mpya na uzinduzi wa kitabu chenye bidhaa mbalimbali za urembo kiitwacho Your Dreams-Our Inspiration kitakacho kuwa sokoni kuanzia  Oktoba 1 hadi Desemba 31-2014.

"Tangu tuanzishe kampuni hii mwaka 2011 tumefanikiwa kutoa ajira kwa vijana 60,000 jambo ambalo tunajivunia ukizingatia changamoto kubwa ya uhaba wa ajira" alisema Nkya.

Alisema vijana hao wamekuwa wakijipatia zaidi ya sh. milioni 10 kwa mwezi kutokana na kufanya biashara ya bidhaa zetu kwa mfumo wa moja kwa moja.

Nkya alisema kampuni yenye makao yake makuu nchini Sweden  kila baada ya miezi mitatu  inaingiza bidhaa mpya sokoni ili kutoa fursa kwa wateja wao kuzipata kwa urahisi na kuzisambaza kila kona kupitia mtandao wa vijana waliopo katika makundi.

Aliongeza kuwa bidhaa nyingi ni vipodozi asilia vinavyotumika kwa wanaume na vingi zaidi ni kwa ajili ya wanawake.

Nkya alitumia nadfasi hiyo kuwahamasisha wanawake kote nchini kununua vipodozi kutoka Oriflame Tanzania kwani havina kemikali yoyote ni bora na salama kwa mtumiaji kwa wakati wote.

Meneja huyo mkazi alisema kama atahijai ufafanuzi kuhusu namna ya kuzipata bidhaa zao anaweza kufika katika ofisi ya Oriflame iliyopo ghorofa la Benjamin William Mkapa Towers Mezzanine Floor.
(Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com)

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate