EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, November 27, 2014

GARDNER KWA HALI HII SASA IDE BASI TENA

CHANZO: GLOBAL PUBLISHERS
JAHAZI linazidi kwenda mrama! Wakati shauri lao la kugawana mali likidaiwa kufikishwa mahakamani, picha mpya imenaswa ikionesha dhahiri kwamba Mtangazaji Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ ameamua kusonga mbele na maisha yake na kusahau kabisa kama alikuwa na mke aitwaye Judith Daines Wambura Mbibo ‘Jide’, Amani linakupa mchapo kamili.
Mtangazaji Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ akila ujana na binti (jina halikupatikana mara moja) mrembo bwawani (swimming pol).
PICHA IPOJE?
Picha hiyo ambayo inamuashia ‘endiketa’ Jide kuashiria kwamba, Gardner amejiweka pembeni na kuwa bize na ‘starehe’ zake, inamuonesha mtangazaji huyo akiwa ‘ziro distensi’ na kabinti kabichiii (jina halikupatikana mara moja) katika bwawa la kuogelea (swimming pol) huku wakiwa wamening’iniza miguu kwenye maji.

PICHA ILIVYOVUJA
Kwa mujibu wa chanzo makini, picha hiyo iliibwa katika simu ya binti huyo aliyekuwa na Gardner kisha kuisambaza katika mitandao ya kijamii bila yeye mwenyewe kujua.
“Yule dada aliyekuwa na Gardner aliibiwa picha hiyo na shosti yake katika simu yake ndipo akaisambaza mitandaoni,” kilisema chanzo hicho.
NI WAPI?
Mara baada ya mapaparazi wetu kunasa picha hizo, kabla ya kumtafuta Gardner ili kujua ukweli, walianza kusaka eneo ambalo wawili hao walikuwa wakiponda raha zao ambapo jitihada hizo zilikosa majibu ya moja kwa moja.
“Hii ilikuwa ni Mikocheni, Escape One siku hiyo kaka mkubwa alikuwa akifanya yake si unajua tena ameshaona liwalo na liwe,” kilisema chanzo cha kwanza.
ETI NI KIGAMBONI
Chanzo kingine kilichozungumza na mapaparazi wetu kilipishana na mwenzake kwa kudai kuwa wawili hao walikuwa katika ufukwe wa Southern Sun Kigamboni wakijiachia kwa raha zao.
“Mimi kuna kuna mtu kanihakikishia kabisa hii ilikuwa ni Kigamboni, walikuwa wakiponda raha tena Gardner siku hiyo inaonekana alikuwa ameonja kidogo si unajua tena kaka mkubwa na mambo yetu yale, Jide hana chake tena pale,” kilinyetisha chanzo kingine.
Gardner akiwa na Lady Jaydee.
NDIYO ZAKE?
Wakati mapaparazi wetu wakiendelea kuchimba data kuhusiana na mtangazaji huyo ambaye alijizolea umaarufu mkubwa katika Kipindi cha Jahazi cha Redio Clouds FM, chanzo kingine kilipenyeza madai kuwa, Gardner kwa sasa ndiyo zake kujiachia na ‘totoz’ tofauti.
“Aaah…kwani nyinyi hamjui? Jiongezeni bwana, Gardner kwa sasa ameshaondoa mawazo kabisa kwa Jide na badala yake anajipoza tu kwa totoz,” kilisema chanzo.
MAKABRASHA YA LIBRARY
Katika makabrasha yaliyopo katika kumbukumbu za Magazeti Pendwa, Gardner aliwahi kunaswa na kabinti kengine katika Fukwe za Coco jijini Dar wakiwa wamegandana kama kumbikumbi.
GARDNER ASAKWA
Mapaparazi wetu juzikati walimfuata Gardner katika Ofisi za EFM zilizopo Mikocheni jijini Dar ambako mtangazaji huyo anafanya kazi kwa sasa, mtu wa mapokezi alidai hajafika.
ATUMIWA UJUMBE
Jitihada za kumpata kwenye simu zilipogonga mwamba, mapaparazi wetu walimtumia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) kumsomea mashitaka yake na kama ni kweli ameamua kumpotezea mazima Jide.
Gardner hakujibu mapema, baadaye alipigiwa simu, akapokea na kuambiwa ajibu mashitaka yake kama alivyotumiwa katika SMS. Alijibu kuwa yeye ana marafiki wengi hivyo si kila atakayeonekana naye basi ni mpenzi wake. Msikie:
“Hivi kila mdada nitakayeonekana naye atakuwa ni wifi jamani? Mi nina marafiki wa jinsi zote, sina la kusema.”
UKWELI NI NINI?
Mapaparazi wetu walizidi kumtafuta Gardner kujua ukweli wa picha hiyo na eneo walilopigia lakini hakupokea tena hivyo ukweli anaujua mwenyewe.
TUJIKUMBUSHE
Gardner na Jide waliofunga ndoa Mei 14, 2005 na kutobarikiwa kupata mtoto, Agosti mwaka huu walidaiwa kumwagana.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate