EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, November 29, 2014

PICHA ZA UTUPU, VIDEO QUEENS TZ WATIA FORA


STORI: Musa Mateja
WHY? Wauza nyago wanaotumika katika video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva (video queens) wametia fora kwa kurekodiwa mikanda ya utupu na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na simu za kupangusa, Risasi Jumamosi lina ripoti kamili.

 
Mrembo maarufu kwa jina moja la Lulu akiwa uchi wa mnyama.
Ukiachana na Agness Gerald ‘Masogange’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’, Rehema Fabian, Husna Maulid ambao walisharipotiwa huko nyuma, mrembo maarufu kwa jina moja la Lulu ambaye ameuza sura kwenye ‘kioo’ cha Ngoma ya  Shitobe ya msanii anayefahamika kwa jina la Y-Tony, naye ameingia katika skendo hiyo.
 
Mrembo lulu akicheza katika hali hiyo ya utupu.
Uchunguzi wa gazeti hili ulibaini kwamba, asilimia kubwa ya warembo hao hurekodiwa na wapenzi wao wanapokuwa faragha kunako sita kwa sita na pale wanapogombana ndipo wanaume hao huzitupia video hizo mitandaoni ili kuwakomoa na kuthibitisha kuwa tayari amempitia hivyo ni ‘makapi’.
Kupitia Mtandao wa Youtube, mrembo huyo anaonekana kwenye video akicheza muziki wa Bendi ya Yamoto, akiwa mtupu huku ikisikika sauti ya mwanaume ikimsihi aendelee kucheza kwa ahadi kuwa video hiyo ni maalum kwa ajili yake na si mtu mwingine.
 
Lulu mwenyewe huyu hapa.
“Hii ni special for me, not for anyone,” alisikika mwanaume huyo.
Video hiyo ambayo ilisambaa haraka mwanzoni mwa wiki hii na kuwa gumzo katika mitandao mbalimbali, wafuasi wengi walikuwa wakikemea tabia hiyo ya kurekodiwa wakiwa utupu.
“Hawa wanajitakia wenyewe, haiwezekani uwe na mpenzi halafu umuamini eti akurekodi kwa ajili yake tu, ni ujinga tu unawasumbua.
Kwanza unaruhusu kurekodiwa ili iweje?,” alihoji mdau mmoja mtandaoni.
Baada ya kuitia kibindoni video hiyo, gazeti hili lilimsaka Lulu wa Video ya Shitobe (siyo Elizabeth Michael) kupitia rafiki zake lakini jitihada ziligonga mwamba kwani ilidaiwa kwamba, kutokana na aibu aliyoipata, aliamua kujificha huku akizima simu sambamba na kufuta picha zote kwenye akaunti yake ya Instagram. 
Lulu akipozi.
Licha ya kuzifuta, mwanahabari wetu alibahatika kumpata kupitia Facebook ambapo anatumia jina la Lulu Mrs Comoro ambako ametupia picha zake lakini akashindwa kutoa ushirikiano.
Mtiririko wa warembo hao kurekodiwa video za ngono ulianza kwa Rehema ambaye alionekana kwenye video ya msanii wa Bongo Fleva aitwaye Pasha.
Baadaye Agness ambaye alishiriki kwenye video ya Wimbo wa Masogange wa Belle 9 akafuata Jack Patrick ambaye ameshiriki kwenye video ya Chungwa ya msanii Sumalee na Nataka Kulewa ya Diamond akafunga dimba kabla Lulu hajaongeza idadi hiyo.
CHANZO: GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate