EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, December 30, 2014

MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO

Mama anayefahamika kwa jina la Sara Zoya akiwa na watoto wake, Imani (14) na Leila (5).
Stori: Shani Ramadhani
Mama mmoja, Sara Zoya mkazi wa Mabibo Makuburi, jijini Dar es Salaam amekimbilia polisi na kudai kuwa watoto wake walitekwa na ndugu yake  kisha kupelekwa kusikojulikana baada ya kufukuzwa kwenye nyumba yao ya familia.

Sara alidai kuwa ndugu yao huyo aliyefanya kitendo hicho cha utekaji ni Hilda Zoya ambaye anadai aliwateka watoto Imani (14) na Leila (5).
Akizungumza na gazeti hili Sara alisema, alikuwa akiishi na mumewe na baada ya kuachika kwa mume wake aliamua kurudi kwao kwenye nyumba ya familia na watoto hao wawili. Aliendelea kufafanua:
“Sisi tulizaliwa watoto sita kwa baba na mama mmoja na mimi ndiye mtoto wa kwanza na wazazi wetu wote walishafariki dunia. Mimi nilipoachika niliwataarifu ndugu zangu kuwa nataka kurudi  nyumbani kwetu Mabibo lakini baadhi yao wakanishauri niende nikakae Tabata Kisukuru kwenye nyumba ya mdogo wangu anayeishi Ulaya.
“Mimi sikupenda, nikakataa nikaenda kuishi kwetu, ilipofika Desemba 17 mwaka huu, ndugu yangu Rachel kutoka Ulaya aliyekuja likizo aliniomba nimsindikize kwa mjomba anayeishi Mbezi Beach huku nyuma mdogo wangu Hilda alihamisha vyombo  vyote na kuwachukuwa watoto na kuwapeleka kusikojulikana.
“Niliporudi nyumbani nilikuta milango imefungwa na vitasa vimebadilishwa na kuwekwa mlinzi pia  watoto wangu wawili sikuwakuta.
“Nikaenda kwa mjumbe, mwenyekiti wa  serikali za mitaa kuwaarifu na baada ya hapo nikaenda kutoa taarifa kwenye Kituo cha Polisi cha Mwongozo kilichopo External, wakaniambia nisubiri kwa muda wa saa 24  lakini sikuwaona wanangu na mama yao mdogo Hilda alikuwa hapatikani kwenye simu, ndipo nikaamua kurudi tena  kituoni hapo na kufungua kesi kuhusu kutoonekana kwa watoto, vitu vyangu na mimi kukosa pa kulala.”
Sara amemfungulia kesi mdogo wake Hilda kwa  jalada namba MWP/RB/1655/2014 UTEKAJI WA WATOTO NA WIZI hivyo anasakwa na polisi.Akifafanua zaidi mama huyo alisema: “Siku ya pili watoto walirudi  wenyewe na walipohojiwa walidai walipelekwa Kinondoni kwa Manyanya na mama yao mdogo na kutelekezwa huko na aliwaachia shilingi elfu tano.
“Watoto walisema walipoamka asubuhi waliwauliza wapangaji wa nyumba hiyo wapi walipo na wakaelekezwa kuwa pale ni Kinondoni kwa Manyanya.”
Mtoto Imani alipoulizwa na gazeti hili alikiri kuchukuliwa na mama yao mdogo na kutelekezwa Kinondoni. “Asubuhi tuliwaomba wapangaji watuelekeze namna ya kufika stendi, tukapelekwa tukapanda basi mpaka Makumbusho kisha tukafika nyumbani, tukaelezwa kuwa mama alilala kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa.”
Sasa Sara anaomba msaada wa kisheria kwani alidai yeye pamoja na  watoto wake hawana nguo, vyombo na sehemu ya kuishi baada ya kufanyiwa unyama huo na mdogo wake huyo na sasa wamefadhiliwa na  mwenyekiti wa serikali za mtaa wanakoishi.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate