EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, January 21, 2015

MADAI YA KUIBA: RASTAMAN ANASWA, ANYOLEWA!

MWANAUME mwenye imani ya Kirasta ambaye jina lake halikuweza kunaswa mara moja, mwishoni mwa wiki iliyopita alijikuta akinyolewa rasta zake bila ridhaa yake kufuatia kudakwa akidaiwa kutaka kuiba kwenye duka moja.
Nywele za rasi zikiwa hatarini kuchezea wembe wa 'NACET' kama si 'GILLETE'
Tukio hilo lililokusanya watu kibao, lilijiri maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam chini ya jengo jipya la Wanyama.
Kwa mujibu wa mashuhuda, rastaman huyo alipofika kwenye duka hilo alijifanya kutaka kununua bidhaa mbalimbali kwa kuulizia bei zake lakini mtu mmoja dukani humo aliyekuwa akimlia ‘rada’ kwa mbali aligundua kuwa jamaa hakuwa mteja bali mkwapuzi.

“Ilikuwa kufumba na kufumbua, jamaa akiwa katika hatua ya mwisho kukwapua, akaitiwa mwizi na kudakwa hapohapo huku kipondo kikianza kumshukia mwilini.
“Alitolewa nje ya duka, watu wakajaa wakisema apigwe mawe hadi kufa, wengine apelekwe Kituo cha Polisi Msimbazi, lakini kuna mtu akasema hakuna haja ya adhabu zote hizo, kwa kuwa ana nywele za kirasta dawa ni kumnyoa.
'Rasi' akijaribu kujitetea ili wembe usiguse nywele zake.
“Huwezi amini, jamaa alijitetea kuwa yeye si mwizi lakini wembe wa Gillete ulinunuliwa, watu wakaanza kumnyoa nywele kwa kukata yale mabutu ya kirasta,” alisema shuhuda mmoja.
Mwisho wa tukio hilo, rasta huyo aliachiwa kwa vile iliaminika kuwa, adhabu aliyopewa ilimtosheleza kama si kumtia adabu.
Akizungumza na gazeti hili, mmoja wa wamiliki wa maduka Kariakoo alisema changamoto kubwa ya biashara maeneo hayo ni wizi wa mara kwa mara.
“Hapa tunaibiwa kila siku. Kuna siku tunawakamata siku nyingine wanafanikiwa bila kukamatwa. Wanatupa hasara sana hawa watu.
“Mfano akikuibia suruali ya shilingi elfu thelathini maana yake amekata faida ya suruali kama tano. Sasa hapo huo umeme wa Tanesco tutalipaje na vibarua tutalipaje?” alihoji mfanyabiashara huyo bila kutaja jina lake.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate