EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, February 19, 2015

MWANZA KU-JEMBEKA NA SAUTI SOL JUMAMOSI HII FEB 21 NDANI YA JEMBE BEACH‏

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Seif Rashid machapisho mbalimbali baada ya kuzindua kongamano la siku mbili la kimataifa la watoto walio katika mazingira hatarishi Dar es Salaam leo. Wa pili kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba machapisho hayo.

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki machapisho hayo kwa niaba ya wakuu wote wa mikoa.
Mratibu wa Ulinzi na Usalama wa Mtoto kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto (Unecef), Mbelwa Gabagambi, akizungumza katika hafla hiyo.
Naibu Mkurugenzi Mkazi wa World Vision, Devocatus Kamara akizungumza na waandishi wa habari.
Mwakilishi wa watoto, Coletha Emanuel kutoka mkoani Shinyanga akisoma hutuba yao mbele ya mgeni rasmi, Makamu wa Rais Dk.Mohamed Gharib Bilal.
Wadau wa maswala ya watoto wakiwa kwenye kongamano hilo.
Watoka kutoka mikoa mbalimbali wakiwa kwenye 
kongamano hilo.
Wanahabari wakiwa kwenye uzinduzi wa kongamano hilo.
Wapiga picha za habari wakichukua matukio ya kongamano hilo.
watoto wakiwa kwenye kongamano hilo.
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (katikati waliokaa mbele na viongozi wengine), wakiwa katika picha ya pamoja na watoto walioshiriki katika kongamano hilo kwa niaba ya wenzao.
Mwenyekiti wa Ulinzi wa Usalama wa Mtoto Kata ya Mabwepande, Mwanne Yusuf Msekalile, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Shirika la World Vision lilivyowasaidia kuhusu maswala ya ulinzi na usalama wa watoto.
Wanamuziki wa Mjomba Bendi wakitoa burudani katika hafla ya kuzindua kongamano la siku mbili la kimataifa la watoto.


Dotto Mwaibale
WATOTO wamuomba Rais Jakaya Kikwete kutilia mkazo mabadiliko ya sheria ya watoto itakayokomesha vitendo vya kikatili dhidi yao.

Pia wamemuomba Rais kuweka msisitizo katika upatikanaji bure wa huduma za afya na pamoja na huduma za msaada wa kisheri.

Hayo ameyasema Dar es Salaam leo Mwakilishi wa watoto, Colletha Wilfred, katika hafla ya  ufunguzi wa Kongamano la Wiki ya Ustawi wa Watoto.

Akizungumza katika ufunguzi huo Coletha alisema kuwa yapo makundi mbalimbali ya watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ambapo ni watoto wanaoishi na Virusi vya Ukimwi,Yatima na watoto ambao wamefanyiwa ukatili wa kijinsia kama kulawitiwa na kubakwa.

Mtoto huyo alisema kuwa makundi hayo yote ni wahanga wakubwa wa ukatili hivyo wanamuomba Rasi kuweka mkazo katika marekebisho ya hseria za watoto.

Aidha alisema watoto wamekuwa wakikosa huduma za kiafya pindi wanapofanyiwa ukatili hivyo hilo nalo serikali lilione ili watoto hao waweze kupatiwa huduma bila gharama yoyote.

Wilfred alisema kuwa serikali iangalie sheria ya makosa ya jinai kama ubakaji na ulawiti, kwani iliyopo inawaoa haki washatikiwa kupata dhamani jambo ambalo linachangia watoto kupata vitisho kutokana na kutoa sheria.

Aliongeza kuwa si serikali peke yake inatakiwa kuwa waangalizi wa watoto hao bali ni jukumu la kila mtanzania kuwasaidi.

Mbali na hayo alisema kuwa ni matumaini yao kuwa Rais amesikia kilio chao na atafanyia kazi yale yote waliyomueleza katika kunusuru maisha ya watoto nchini.

Kwa Upande wake Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Ghalib Bilal alisema kuwa ni ukweli kuwa hali ya usalama wa watoto wanaoishi katika mazingira magumu ni mbaya na inatisha.

Dk Bilali alisema kuwa Umasikini,Ukimwi,Ukatili na Unyanyasaji unachangia ongezeko la watoto wanaoishia katika mazingira magumu na kufikia 897,913.

''Utafiti unaonesha kati ya watoto 10 wakike watoto 3 lazima wafanyiwe vitendo vya kikatili na kati ya watoto 7 wakiume mtoto moja lazima awe muhanga wa ukatili, hii hali inatisha sana na inaonesha kuwa watoto hawapo katika usalam."alisema

Hivyo alisema kuna kila sababu ya kuumiza vichwa kukomesha tatizo hilo na wao kama serikali wamesikia na watatekeleza kilio cha watoto hao.

Alisisitiza kuwa ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha kuwa mipango ya maendeleo ya watoto kwa kushirikiana na wadau ili kila mtoto kuishi maisha bora na salama.

Pamoja na hayo Waziri wa Afya, Dk. Rashid Seif alisema jitihada mbalimbali zinafanywa ili kuwasaidia watoto wanaoishi maisha magumu kupitia misaada ya kisheria.

Dk. Rashid alisema kuwa jumla ya watoto 2,332 ambao walikuwa katika ajira za utotoni walipatiwa huduma za misaada ya kisheria na kundokana na ajira hizo.

Alisema kuwa takwimu la zoezi la halmashauri 110 la utambuzi wa watoto wanaoishi katika mazingira magumu ilionesha kuwa jumla ya watoto wa kiume 475,000 na jumla ya watoto wa kike 571,000 wanaishi katika mazingira magumu. 
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com)

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate