EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, May 23, 2015

JB: NILILELEWA ‘KI-MAMA’ MAMA SANA!

Msanii nguli kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Jacob Steven Mbura ‘JB’.
MKONO mmoja ulikuwa shavuni nikiendelea kusoma kitabu kipya cha ujasiriamali kilichoandikwa na mhamasishaji nguli barani Afrika wa watu kujikomboa na umasikini, Eric Shigongo kiitwacho Jinsi ya Kutoka Kwenye Umasikini Hadi Mafanikio kinachopatikana mitaani kwa bei nafuu, nikiinua kichwa mara kwa mara na kuangaza macho huku na kule nikimsubiri mtu aliyenifanya niwe katika eneo hilo. Ndiyo, sikuwa nimechelewa wala kuwahi sana, nilikuwa hapo kwa wakati.
Nilikuwa ndani ya viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar, nikimngoja kwa hamu msanii nguli kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Jacob Steven Mbura ‘JB’. Lengo likiwa ni moja tu. Kupata simulizi ya maisha yake tangu anazaliwa hadi alipo sasa.

Sikujishughulisha sana na magari yaliyokuwa yakiingia uwanjani hapo, lakini ghafla nililazimika kusitisha kila kitu baada ya kuingia gari ambalo kila aliyekuwa maeneo hayo alilikazia macho.
Ndiyo, ilikuwa ni Toyota, Land Cruiser VX-V8. Halikushangaza wengi kwa aina yake, bali kwa rangi ya mng’aro lililonakshiwa.
Baada ya salamu, mazungumzo yakachukua nafasi huku nikiwa na shauku kubwa ya kujua maisha halisi ya gwiji huyu wa sanaa kwa sasa! Haraka sana naikamata na kuikaza vyema kalamu yangu na kuanza kudondosha wino kwa kila elezo alilolisema. Ungana nami katika simulizi hii tamu ya maisha halisi ya JB.

KUZALIWA
JB alizaliwa katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar, miaka kadhaa iliyopita, wakati huo familia ikiishi Mwananyamala. Familia ya JB ilikuwa na uchumi wa wastani kutokana na wazazi wake kuwa watumishi wa serikali jambo lililorahisisha malezi yake.
MAISHA YA UTOTONI
Wakati JB akiendelea na simulizi, ghafla namuona akigeuza shingo pembeni na kukazia macho mahali fulani. Taratibu naamua kutazama eneo ambalo alilikazia macho. Alikuwa  akimtazama mhudumu wa vinywaji na chakula, haraka sana anamuita na kumwagizia vinywaji pamoja na oda ya msosi.
“Unajua (akilitaja jina la mwandishi) usione nina mwili kama huu, afya haiboreshwi kwa udongo na matofali bali kwa chakula, ngoja tule kwanza huku mazungumzo yakiendelea,” anasema huku akinitazama na kuachia kicheko kilichowafanya watu wote waliokuwa eneo hilo wageuke na kututazama.
JB anasema maisha yake ya utotoni hayakuwa na fujo nyingi sana kama ilivyo kwa watoto wengi kwani alikuwa mpole na mkimya. Muda mwingi aliutumia kuwa kimya na wakati mwingine kujitenga na watoto wenzake hasa kunapokuwa na kelele nyingi.
“Nilikuwa mkimya na mpole sana, maisha yangu ya utotoni hayakuwa na fujo nyingi, unajua nililelewa kwa kudekezwa sana, yaani ki-mama mama hivyo nilikuwa muoga, muda mwingi nilikuwa najitenga na wenzangu hasa kama kuna kelele na dalili za ugomvi,” anasema JB huku akikohoa kidogo na kujirekebisha vyema kitini.
ALIPENDELEA MICHEZO GANI?
“Nilipenda sana mchezo wa mpira wa miguu, hadi leo ninapoongea na wewe hapa, hakuna mchezo ninaoupenda kama huo, nilipendelea sana kucheza mpira na watoto wenzangu ambao hawakuwa wakorofi. Mara nyingi niligombana sana na mama kwa kuchelewa kuoga kwa sababu ya mpira,” anasema JB.Wakati JB anaendelea kukumbuka na kusimulia kwa hisia kali maisha michezo aliyoiupendelea utotoni, ghafla...

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate