EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, August 20, 2015

Mamilioni yatengwa kumpora Diamond mtoto!

hiyoooooo

Raia wa Uganda mwenye maskani yake nchini Afrika Kusini ‘Sauz’, King Lawrence.

Sakata la yule jamaa aitwaye King Lawrence, raia wa Uganda mwenye maskani yake nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ anayedai kuwa mtoto wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ siyo wa mwanamuziki huyo, limechukua sura mpya. Jamaa huyo amefunguka upya kwamba, ametenga mamilioni ya fedha kumpora Diamond bintiye Tiffah.

diamond mtotoStaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’  akicheza na mtoto  wake Tiffah.

KING LAWRENCE AMGEUKA IVAN Kabla ya kutenga mamilioni hayo, King Lawrence ambaye ni rafiki wa aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga aliposti kwenye akaunti yake ya Instagram kile kinachoonekana ni barua ya kutaka kufanyika vipimo vya DNA ili kubaini Tiffah ni damu ya nani huku barua hiyo ikimtaja King Lawrence kuwa ndiye mhusika. kingl

King Lawrence na Ivan.

Pia kabla ya barua hiyo iliyoandikwa na kusainiwa na kampuni ya wanasheria ya Uganda ya Web Advocates & Solicitors, King Lawrence alikaririwa akidai kwamba Tiffah ni damu ya Ivan hivyo kitendo cha kudai ni damu yake kimezidi kusababisha ‘drama’ kwenye mitandao ya kijamii. Katika madai yake mapya, King Lawrence amebadilisha habari kuwa Tiffah ni damu ya Ivan kwa kuwa aliondoka kwa jamaa huyo akiwa tayari mjamzito na badala yake sasa yeye (King Lawrence) ndiye anadai ni baba wa Tiffah! TIFFAH DIAMOND

Diamond Platnumz’  akiwa amelala na mtoto  wake Tiffah.

ADAI KULALA NA ZARI Kwa mujibu wa King Lawrence anayedaiwa kuwa na njaa ya umaarufu, eti alilala na Zari mapema Januari, mwaka huu na kumpa ujauzito huo ambao umemleta Tiffah duniani hivyo yupo tayari kutumia gharama yoyote kumpora Diamond mtoto huyo. Zari+and+Ivan

Ivan na Zari.

ATENGA MILIONI 70 Ili kuthibitisha kile alichokisema, King Lawrence alitundika picha ya mkwanja mrefu unaokadiriwa kufikia Fedha ya Sauz takriban Randi 425,000 karibia Sh. milioni 70 za Kibongo ambazo ameapa kuzitumia kwa mawakili, wanasheria, mahakama na kwenye vipimo vya DNA kuhakikisha anammaliza Zari na kumchukua Tiffah. AMANI LAGUNDUA KITU TOFAUTI Wafuatiliaji wa sakata hilo wameliambia Amani kitu tofauti kwamba, kinachoonekana Ivan na King Lawrence wamepania kuhakikisha kuwa Zari na Diamond hawapati furaha ya kupata mtoto. 10805574_676593659120086_1574006959288286677_n

King Lawrence.

MUNGU AMUEPUSHE TIFFAH Hata hivyo, hakuna chochote kinachoonekana kuwaumiza Diamond na Zari katika yote hayo yanayosemwa kwa sababu wana uhakika juu ya mtoto wao huku kila mtu akimuomba Mungu amuepushe mtoto huyo na drama za watu wasiokuwa na mshipa wa aibu. DIAMOND AFUNGUKA Akizungumza na Amani juu ya sakata hilo ndani ya chumba cha gazeti hili Bamaga-Mwenge jijini Dar mapema wiki hii, Diamond alifunguka kuwa, hao jamaa wanatafuta umaarufu na kwamba hakuna barua yoyote aliyopelekewa Zari. Diamond alisema kuwa barua ya kudai mtoto wake akapimwe DNA bado haijamfikia na kama ni ishu ya kisheria inayohusu mahakama basi ingepitia kwa wakili au mwanasheria wao na siyo kupitia mitandaoni. “Si nyumbani kwake wala ofisini kwake South wala Uganda, hakuna barua yoyote. Wewe umeona wapi mtu anaitwa mahakamani kwa barua ya kwenye ukurasa wa mtu wa social media (mitandao ya kijamii)?” Alihoji Diamond akionekana ‘kumaindi’ juu ya ishu hiyo na kuhoji: “Huyu jamaa, hivi hana kazi ya kufanya?” AMBANA ZARI Mkali huyo wa Ngoma ya Nana aliendelea kutiririka kuwa, alimbana Zari ambaye alimwambia hajawahi kuolewa na wao wameamua kuishi maisha yao na hawezi kufuatilia maisha ya mtu. Alipoulizwa juu ya taarifa kwamba, King Lawrence ametenga mamilioni ili kumpora mwanaye huyo, Diamond alisema mtu huyo anatafuta umaarufu na kwamba kuna wanaomsikiliza hivyo naye anaona ndiyo njia ya kumpa umaarufu. “Unajua kutafuta umaarufu nayo ni gharama hivyo naamini hiyo ni njia yake ya kutafuta umaarufu tu hana lolote na mimi nisingependa kujibizana na watu. Sisi tuna maisha yetu hatuna muda wa kufuatilia mambo ya watu,” alimalizia Diamond akisema kuwa mjadala huo ameufunga kwani ana uhakika Tiffah ni damu yake. ZARI NAYE Muda mfupi baada ya kumalizana na Diamond, Zari naye aliibuka kupitia akaunti yake kwenye Instagram ambapo alimshambulia King Lawrence kisha kumalizia kwa kumwita chizi. “Visasi hufanywa na watu wenye akili za kitoto. Huyo mtu (King Lawrence) ni chizi,” aliandika Zari. TUJIKUMBUSHE Tangu Zari ajifungue Agosti 6, mwaka huu, kumekuwa na maneno mengi juu ya mtoto wake huyo wa kike ambapo kabla ya King Lawrence kudai ni mwanaye, aliyewahi kuwa mume wa Zari naye alikuwa akitajwa kama baba wa mtoto huyo hivyo wanaume hao ambao ni marafiki kuibua utata na kuonekana hawana lolote zaidi ya kutafuta umaarufu.

Laughing all the way to the Bank.

A video posted by 👑KING (@kinglawrenc) on

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate