EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Sunday, June 10, 2012

Wajue FreeMason

Historia ya Freemason imegawanyika katika Nyakati kuu mbili tofauti, Yaani Kabla na baada ya Grand Lodge of England on 24th June 1717. Baada ya kutengenezwa kwa Grand Lodge huko Uingereza ambazo zilikuwa maalumu kwa Freemason, Freemason walianza kuenea Duniani kote kwa kutengeneza Lodges za mtindo huohuo katika nchi nyingine, na sasa ikafika hadi Tanzania, Kabla ya ukoloni. Marekani ilifika Mwaka 1775.
Ningependa kuwapa kazi ambazo wao huwa wanazifanya na Tabia za watu hawa ambao wapo kwenye Dini hiyo ya Kishetani.
1. Kusaidia watu wote wenye matatizo mbali mbali, Mfano majanga kama kwetu hapa Gongolamboto, Mbagalia Mabomu, Mafuliko, Kuunguliwa Moto nakadhalika 
2. Kusaidia vituo vya watoto yatima, Kuandaa sikukuu au mikutano ya vilema na wamama wajane.
3. Wanatoa misaada ya kupata kazi na awakati mwingine facilities na njia mbadala za kupata kazi.


Tabia zao 
1. Kwanza ni wapole na wanyenyekevu sana kwa watu na hawapendi makundi yenye kujitoa kimbelembele.
2. Wengi wao ni matajiri na watu maarufu, na wenye Heshima kubwa sana kwenye nchi husika, na wafanyabiashara.
3. Watu wanaopenda kujitolea kwa hali na mali katika jamii, ikitokea tatizo lolote la kitaifa.
4. Wanaopenda kuanzisha mifuko mbalimbali kwaajili ya jamii Fulani, Lengo ni kupata
5. Hawapendi ugomvi au machafuko ya aina yoyote, ni watu wa Amani.
6. Hutumia Ufreemason wao kupata wateja kwenye biashara zao, au kupata watu wengi kwenye majukwaa ya kisiasa kwa lengo la kushinda chaguzi mbalimbali, kwa wanamuziki Ili miziki yao ipendwe na kupata watu wengi kwenye shoo zao. Wachezaji kwa Fowadi waweze kushinda magoli wawapo kwenye mechi, na Waigizaji kazizao zipendwe na wao wawe na followers wengi.

Alama zao

Hizi ni alama wanazo tumia Mara kwa mara wakiwa kwenye shugulizao kwaajiri ya kuleta mvuto kutoka kwa watu wanao wasikiliza au wanaofuata Burudani kwa Wanamuziki Kama Michael Jackson.
Pia kwa Wachezaji wanaishara ya Vidole Viwili kuonesha chini (cha pili na cha tatu kutoka dole gumba) wakati wa kupiga faulo, na Penalt. au wakikaribia Goli wakati wa Kufunga ( Messi, Ronaldo ) ni mifano mzuri.

Freemason in Tanzania
Mpaka sasa Dini hii ya kishetani inamiaka zaidi ya 79, toka ilipoingia hapa nchini Tanzania na member wake wamezidi kuongezeka na kuwa wengine sana kati ya miaka ya 1985- 2000 kwa kutaka kupata Mvuto kisiasa, Kiutamaduni, Kimichezo, Kimuziki, Uigizaji na wengine katika biashara na mambo mengine. Lakini hili la Siasa ndo limeshika hatamu sana, Tafadhali Fuatilia Mikutano ya Bunge na uone Je Ishara hizo hapo juu hazitumiki? Jibu unalo wewe!!!


Hili ni Hall lililoko Mtaa wa sokoine Liko mkabala na Hotel ya Kilimanjaro Kempisky, na wageni wengi hufikia Hotel hiyo kwa urahisi wa Mikutano yao, kwani mambo yao huendeshwa kwa usiri mkubwa sana.

Hawa ni Mafreemason Wakishiriki kwa Pamoja katika shughuli ya upandaji wa Miti, Nadhani sasa utaanza kuelewa Kazi na shughuli wanazo jishughulisha na hawa watu,, NAOMBA TUWE MAKINI SANA NA HAWA WATU, AMBAO HUFANYA VITU VINGI VIZURI ILI KUKUVUTA NA WEWE UJIUNGE. FUMBA MACHO MKUMBUKE MUNGU WAKO KISHA WAKEMEE.


Huyu Jamaa ANAITWA Sir Andy Chande Mtanzania wa kwanza kukiri kuwa Yeye ni Mwanachama wa Freemasons

Hawa jamaa hapa Tanzania wamesaidia kituo cha watu wenye ukoma cha kindiwi wilayani Utete; Kituo cha watoto cha Mama Theresa; shule  ya Vipofu ya Pongwe, mkoani Tanga; Kituo cha yatima cha Arusha, Hospitali ya Mnazi mmoja kula Zanzibar; na Shule ya Viziwi ya Buguruni.


Hiyo ni Form Maalumu ya kujiunga na Hao watu na ukisha jiunga situation inakuwa kama hivyo hapo kwenye picha.

Wanahitaji nini
1. Kujua siri ambazo Mungu amezificha kuhusu Binadamu, na Umungu, na kuisambaza dini yao Duniani kote kwa kupaza sauti yao, ili sikumoja Shetani atawale Dunia
2. Wanataka Dunianzima waabudu Mfumo wa Sayari (Pentagram Cycle of Venus. )ambao wao ndo Mungu wao
3. Kudesign and kujenga miji Muhimu na mikubwa duniani kama Washington
4. Na kuiteka Dunia ili wawe na wafuasi Wengi kuliko wanao Muabudu Mungu

Ushauri Wangu.
Jamani Hawawatu wanatumia njia nyingi sana kuwarubuni watu Duniani Kote, Na mara nyingine hutuma Messages kwa Hardcoppy au Emails kudanganya kuwa Wao walifanikiwa kwa kusambaza ujumbe huo kwa watu wengi (huwa inakuwa kuanzia 7 hadi 14)
Hawamuabudu Mungu na wanamuabudu shetani, na Dini yao inanguvu sana imewateka Watu wazito wote unaowajua wewe Tanzania, Kenya Uganda na Duniani kote, Kama unavyoona Picha hapo juu


Freemason wanaabudu hiki hapo juu.

Nadhani sasa nimejibu maswali mengi ya watu na kama kuna kingine kunahitaji kujua basi tuulizane tu kwa kutumia Address Hiyo hapo chini.
(Mimi si member wa Freemason Tafadhali Naomba nieleweke Hivyo)

1 comment:

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate