EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Tuesday, July 24, 2012

Baba amfumania Mama akizini na mwanaye; Awaua wote

Mkazi wa Kijiji cha Ng’hoboko, Stephano Mihulu (60) anadaiwa kumfumania mkewe na akifanya mapenzi na mtoto wao wa kumzaa na kuwaua kwa kuwakata mapanga.

Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, Salum Msangi aliwataja waliouawa kuwa ni Kundi Sita (40) ambaye ni mke wa mtuhumiwa na Boyayi Stephano (27) ambaye ni mtoto wake.

Akizungumza jana, kamanda alisema Mihulu alimkuta mkewe akifanya tendo la ndoa na mtoto wake ndipo alipoghadhabika na kuwashambulia kwa kuwakata mapanga na kisha kuwachinja shingoni.

Kwa mujibu wa taarifa ya kamanda, tukio hilo ni la saa 7 usiku wa kuamkia jana katika kijiji cha Ng’hoboko wilaya ya Meatu mkoani hapa.

Baada ya kufanya mauaji hayo, inadaiwa Mihulu alitembea kwa miguu umbali wa kilometa 18 kutoka kijiji cha Ng’hoboko hadi makao makuu ya wilaya ya Meatu mjini Mwanhuzi, kwenda kujisalimisha kwenye kituo cha polisi cha wilaya hiyo.

Kamanda alisema mtuhumiwa alikabidhi silaha ambazo ni panga na fimbo alivyotumia kufanya mauaji hayo.

Alisema Mihulu alitembea kwa miguu kuanzia saa 7 usiku hadi asubuhi kwenda kituo cha polisi kwa madai kuwa hakutaka kuwasumbua polisi na kwamba yeye ndiye mhusika wa mauaji hayo.

Katika tukio lingine la kifo, kijijini Ipililo tarafa ya Mwagala wilayani Maswa, mkazi wa kijiji hicho Lugate Lazaro (45) anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga mtoto wake Yohana Lazaro (9) mwanafunzi wa shule ya msingi ya Ipililo B na kusababisha kifo chake.

Inadaiwa kuwa mtoto Yohana alipigwa na baba yake kwa kuchelewa kurejea nyumbani baada ya kutoka shule kutokana na michezo njiani na wanafunzi wenzake. Kutokana na kipigo hicho, hali ya mtoto huyo ilikuwa mbaya mpaka saa 10 alfajiri ya kuamkia jana alipofariki.

Polisi inaendelea na uchunguzi wa matukio hayo na mara baada ya uchunguzi kukamilika, watuhumiwa watafikishwa mahakamani kusomewa mashitaka yanayowakabili.

via HabariLeo

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate