EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, July 21, 2012

MANJI AHADITHIA BAO 5-0 ZA SIMBA AFAFANUA ZITAKAVYOLIPWA NA YANGA


        
Mwenyekiti mpya wa Yanga, Yusuf Manji.
Na Saleh Ally
KWA mara ya kwanza, Mwenyekiti mpya wa Yanga, Yusuf Manji, amezungumzia kipigo cha mabao 5-0 ambacho timu yake ilikipata kutoka kwa watani wao, Simba, kabla ya yeye kuingia madarakani.
Simba ambao ni mabingwa wa Tanzania Bara, waliitandika Yanga kwa mabao 5-0 katika mechi ya mwisho ya kufunga msimu iliyochezwa Mei 6, mwaka huu, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
 
Akizungumza na Championi Ijumaa katika mahojiano maalum, Manji alisema kipigo hicho kiliisambaratisha Yanga na ndicho kilichangia yeye kugombea nafasi hiyo na akasisitiza inawezekana kulipa kisasi.
“Kilikuwa kipigo kibaya na kilitusambaratisha, ilikuwa ni aibu, ndiyo maana uongozi wangu utafanya kazi kubwa ya kurudisha imani kwa Wanayanga. Hicho ni kitu muhimu sana.
“Hatuwezi kuacha kuizungumzia Simba kwa kuwa ni changamoto kwetu, kinachotakiwa kwa Yanga ni kuangalia mipango madhubuti ambayo siku ya mwisho itatufanya tuwe na timu imara.
 
“Kama tuna timu imara, kuifunga Simba au timu yoyote mabao tano, hakitakuwa kitu kigumu. Kujipanga kwa mipango na programu za uhakika, ndiyo kitu bora kuliko kukimbilia kulipa kisasi tu,” alisema akionyesha kujiamini.
Manji alisisitiza kuwa wachezaji lazima wajue wana jukumu kubwa la kurejesha heshima ya Yanga na kocha atahusika katika kuhakikisha kikosi chake kinafanya kweli.
 
“Kama viongozi, tutahakikisha mishahara, posho au kama kuna ahadi, kila kitu kinapatikana kwa wakati mwafaka. Sasa wachezaji na makocha wahakikishe tunafanya vizuri. Tunajua timu haiwezi kujengwa kwa siku mbili. Hatuwezi kutimiza ahadi zetu kwenda katika mafanikio kama tutakuwa na timu inayofungwa,” alisema Manji.
Kikosi cha Yanga kwa sasa kipo chini ya Kocha Mbelgiji, Tom Saintfiet na kimeanza michuano ya Kagame kwa kufungwa mabao 2-0 na Atletico ya Burundi kabla ya kuibuka na kuinyonya ‘damu’ Wau Salaam ya Sudan Kusini kwa mabao 7-1.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate