EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, July 20, 2012

Skagit ilishindikana kutumika Marekani


                                        Meli Yenyewe ikiendelea kuzama
Taarifa zinaonyesha kwamba boti ya Skagit ni kati ya zilizonunuliwa nchini Marekani mapema mwaka jana baada ya kuonekana haifai kwa matumizi nchini humo.

Ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinaonyesha kwamba boti hiyo ni kati ya mbili zilizonunuliwa Februari mwaka jana baada ya kutofanya kazi tangu Septemba mwaka 2009, ikiwa ni utekelezaji wa wabunge kushinikiza zisitumike kwa usafirishaji wa abiria tangu mwaka 2006.

Awali, boti hizo ambazo ni Kalama na Skagit, zilikuwa zinamilikiwa na serikali ya jimbo la Washington ambayo iliziuza kwa kampuni ya ununuzi wa boti Port Coquitlam, B.C, ambayo baadaye iliziuza Tanzania.

Taarifa zinaeleza kuwa zote mbili ziliuzwa kwa bei ya kutupa ya dola za Marekani 400,000 tofauti na thamani yake iliyokuwa imeelezwa Desemba mwaka 2009 ya dola za Marekani 900,000.

Gazeti la Times la Februari 18, mwaka jana lilimkariri msemaji wa Feri Jimbo la Washington, Marta Coursey, akieleza kuwa meli hizo zingesafirishwa na meli ya mizigo kwenda Afrika, Tanzania.

Gazeti hilo lilieleza kuwa uuzaji wa boti hizo ulifanyika ikiwa ni mpango wa serikali ya jimbo la Washngton kuziua nchini humo, ambao hata hivyo ulishindikana.

Baadaye ililazimu kuziingiza kwenye mnada wa mtandao ikitaka kuziuza kwa dola za Marekani 300,000 kwa kila moja lakini pia haikufanikiwa na badala yake ziliuzwa kwa dola za Marekani 400,000 mwaka jana.

Zilitengenezwa New Orleans na zilinunuliwa mwaka 1989 kwa dola za Marekani milioni tano.

Mwanahistoria wa Feri jimboni humo, Steve Pickens, alikaririwa na gazeti la Times kwamba boti Kalama na Skagit, zilikuwa ni za kwanza za abiria zilizotengenezwa na serikali.

Baada ya tetemeko la ardhi la Loma Prieta, mwaka 1989, boti zote mbili zilitumwa San Francisco na kusaidia usafiri wakati ujenzi wa madaraja ya mji huo yakijengwa.
CHANZO: NIPASHE

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate