EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, September 13, 2012

AGNES MASOGANGE’, ‘SINTAH’ WATIBUANA TENA


Baada ya kupatana kwa muda na kuwa marafiki sasa warembo wawili Sintah na Agnes, wametibuana upya kwa madai kuwa mmoja wao bado anaendeleza kinyongo kitu ambacho kinawafanya washindwe kuelewana.


Chanzo kimoja cha habari ambacho kipo karibu na Sintah kikiongea na mwandishi wa mtandao wa DarTalk kilidai kuwa ingawa walipatana lakini bado hakuna ukaribu wowote uliopo na inaonekana kuwa kila mmoja wao hafurahii urafiki huo.

Chanzo hicho kidai kuwa siku mbili zilizopita wadada hao walikutana lakini cha anajabu hakuna walichozungumza kwani kila mmoja hataki kumsemesha mwenzake kitu ambacho kinafanya waendeleze bifu ambalo lilikuwa limezizima kwa muda.

“Hakuna urafiki wowote hapa kuna kipindi ndio walipatana lakini cha ajabu juzi wamekutana na hakuna wote wamewekeana ubishi kusalimia, sasa kwa sisi watu wazima tunajua hali inavyokua na hao wanatakiwa kukaa chini na kuzungumza si kuzungumza na waandishi eti wamekubaliana,” kilidai chanzo hicho.

Hata hivyo alipotafutwa Sintah ili kutoa la moyoni juu ya kuwekeana ukauzu alidai kuwa ni kweli walipatana lakini haoni sababu ya kuendelea kuzungumza naye kwani alichokifanya walishakimaliza.

“Jamani kwani mi nina makosa gani kama mazungumzo tulifanya na tukamaliza ubishi, sasa nizungumze naye nini tena wakati kila mmoja anafanya mambo kama anataka kuzungumza na mimi awe kitu cha maana bila hivyo tutabaki kuwa marafiki wa kujuana tu,” alidai.

Hata hivyo naye Agnes alipozungumzia ishu hiyo alidai kuwa hapendi alichomfanyia Sintah kwani walipokutana yeye alifunguka na kumsalimia lakini Sintah hakutana kujibu kwa kujiona staa.

“Sina shida na salamu yake kwani nilimpa hii lakini alishindwa kuitikia kwa sababu tu ajione staa kwa kitu gani alichokuwa nacho hadi ashindwe kuitikia salamu yangu, sihitaji kuzungumza naye tena,” alidai Agnes Masogange.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate