EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, September 15, 2012

Ajali Mbili Zaua Watu Wanane Siingida siku ya jana.


Wananchi wa mji wa Singida wakiwa wamekusanyika nje ya viwanja vya chumba cha kuhifadhia maiti ktk hospitali ya mkoa wa Singida
Wauguzi wa hospitali ya mkoa wa Singida wakijiandaa kumsaidia mmoja wa majeruhi wa ajali ya lori iliyotokea wakati wakienda mna

Na: Elisante John-Singida
WATU wanane wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea mjini Singida kwa kuhusisha magari mawili, ikiwemo Landrover ya polisi na kusababisha jumla ya majeruhi 25. Ajali hizo zimetokea jana (14/9/2012) moja saa 5:30 asubuhi na nyingine saa 6:30 mchana wa jana.
Landrover ya polisi iliyohusika na ajali hiyo ni namba PT 1149 kutoka mkoni Morogoro ikiwa na abiria 11 waliokuwa wanasindikiza mwili wa askari polisi Regu Kamamo, kwenda Musoma kwa ajili ya maziko.
Kamanda wa polisi mkoa mkoa wa Singida, Linus Sinzumwa alisema kuwa gari hilo lilipata ajali katika kambi ya Wachina iliyopo eneo la Manguajunki nje kidogo ya mji wa Singida.Aliwataja walifariki katika ajali iliyohusisha gari la polisi ni, staff sajenti Rose Mary Nyaruzoki (53), Nyamwenda Juma, Rehema Juma.

Sinzuma alisema uchunguzi zaidi bado unaendelea ili kubaini chanzo cha ajali hiyo huku akifafanua kuwa majeruhi wanane wa ajali hiyo wamelazwa hospitali ya mkoa Singida na hali zao zinaendelea vizuri.
Katika tukio la pili, alisema lori Fusso T.126 AEU likiwa na wafanyabishara wa mnadani likitokea Singida mjini kwenda mnada wa Mtavira kata ya Minyunge wilaya ya Singida, lilipinduka na kusababisha vifo vya watu watano na majeruhi 17
Alisema ajali hiyo ilitokea jana saa 6.30 mchana katika kijiji cha Mtavira, Singida vijijini.Aliwataja waliofariki dunia papo hapo ni Sarafina Ally, Pili Saida, Charles Thomas na wengine wawili waliofahamika kwa jina moja moja la Bakari na Bilali.

Alisema chanzo cha ajili ya fuso,bado hakijafahamika na uchunguzi zaidi bado unaendelea. Hata hivyo Sinzumwa alisema taarifa kamili kuhusiana na ajali hizo, atazitoa kesho (leo 15/9/2012) .Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa Singida, Dk. Joseph Malunde alisema majeruhi hao 17, wamelazwa hospitali ya mkoa wa Singida na hali zao zinaendelea vizuri.

"Maiti zote tisa pamoja na ile ya askari aliyekuwa anasafirishwa na gari la polisi na zile za Fusso, zimehifadhiwa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya mkoa,"alisema Dk. Malunde.

Kwa mjubu wa mmoja wa majeruhi wa fuso,Maulidi Mohammed,fuso hilo lilipinduka baada ya breki zake kufeli likiwa kwenye mteremko mkali hali iliyosababisha dereva ambaye hata hivyo hajafahamika ashindwe kulimud

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate