EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Friday, September 7, 2012

TASWIRA YA MAANDAMANO YA WAISLAM KUISHINIKIZA SERIKALI KUWAACHIA WENZAO WALIOKAMATWA KUTOKANA NA KUGOMA KUHESABIWA.

             WAISLAMU WAVAMIA MAKAO MAKUU YA POLISI JIJINI DAR LEO

Mmoja wa viongoi wa maandamano hayo jina lake halijaweza kupatikana kwa haraka akiwahimiza waislam wenzake kuto kukata tamaa moaka kieleweke. Hapa wakiwa mbele ya jengo la wizara ya Mambo ya ndani kama linavyoonekana kwa mbele

Wakina mama wa kiislam nao hawakuwa nyuma katika maandamano hayo wakishinikiza waislam wenzao waliokamatwa kwa sababu ya kugoma kuhesabiwa watolewe, mpaka hivi sasa tunaingia mitamboni bado waandamanaji hao wapo katika jengo hilo la Wizara ya mambo ya ndani.
Wanahabari nao hawakua nyuma katika kupata picha za tukio hilo
Kwa juu kwenye gorofa ni wafanyakazi wa Benk ya Exim iliyo karibu na Wizara hiyo wakiwa hawajui la kufanya huku wengi wao wakihofu kama mabomu ya machozi yakianza kupigwa watajisalimisha wapi, huku waislam kama unavyowaona kwa chini wakiwa wanaimba nyimbo mbali mbali za kuhamasishana kama iivyozoeleka kwa usemi wa kiimani yao "TAKHBIIRRR!!!!"



Hapa wakiwa wanaelekea kwenye wizara ya mambo ya Ndani.
Tikio hilo limetokea muda mfupi uliopita. Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ambayo imetolewa na jeshi la polisi kutokana na maandamano hayo.

Baadhi ya Waislamu wakiwa nje ya jengo la Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani leo.
Polisi wakiimarisha ulinzi wakati wa maandamano hayo.
Moja ya bango walilokuwa nalo waandamanaji hao.
Waandamanaji waliamua kuswali eneo hilo la wizara wakati polisi wakiimarisha ulinzi.
Kamanda Kova akiwa eneo la tukio baada ya kumaliza mazungumzo na viongozi wa waandamanaji.
Rais wa Tamsia Taifa, Sheikh Jaffar Said Mneke (katikati), akiongea na waandamanaji mara baada ya kumaliza kikao na viongozi wa wizara.
Barua inayoonyesha madai wa waandamanaji hao.
Baadhi ya Waislamu jijini Dar es Salaam leo wameandamana kuelekea Wizara ya Mambo ya Ndani kutaka wenzao waliokamatwa wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linaloendelea nchini kuachiwa. Katika maandamano hayo viongozi wa Waislamu na maofisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani walikutana na kufikia makubaliano kuwa wote waliokamatwa wakipinga zoezi la Sensa Zanzibar na Tanzania Bara wataachia huru. Pia waandamanaji hao wamekubaliana kufanya maandamano mengine ya kumng'oa Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Shaban Bin Simba kwa kutoonesha ushirikiano nao.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate