EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Thursday, December 13, 2012

BABA AMCHARANGA MAPANGA NA KUMUUA KINYAMA BINTI YAKE WA MIAKA SABA.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
YADAIWA ETI KISA NI UGOMVI KATI YAKE NA MKEWE... MTOTO ALIREJEA KWAO AKITOJKEA MADRASA NA KUKUTA UGOMVI MKUBWA WA WAZAZI WAKE... ALIPOPIGA KELELE AKIOMBA BABA ASIMPIGE MAMAYE...AKAUAWA YEYE... NI YOMBO BUZA, TEMEKE DAR.
 
Binti anayetajwa kuwa na miaka saba aitwaye Gift Mustafa, ameuawa kinyama kwa kucharangwa mapanga na baba yake Mustafa Mchele, 37, nyumbani kwao Yombo Buza, Temeke jijini Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni ugomvi mkali ulioibuka kati ya baba yake huyo na mama yake aitwaye Zulfa Mathias, 23.

Mauaji hayo ya kinyama yametokea usiku wa kuamkia jana, majira ya saa 1:00 usiku katika eneo la Buza na kusababaisha watu kibao kujaa na kutaka kuchukua sheria mkononi dhidi ya mtuhumiwa, Mustafa Mchele. Polisi waliwahi eneo la tukio na kumuokoa baba huyo asiuawe na wananchi wenye hasira baada ya kurusha risasi kadhaa hewani ili kuwatawanya. Imedaiwa na baadhi ya mashuhuda kuwa Gift alipigwa mapanga mara kadhaa mwilini ikiwamo kichwani na usoni na ubongo wake ulitawanyika na hivyo akauawa papo hapo.

Inaelezwa kuwa Gift alikuwa amerejea kutoka madrasa na aliposikia baba na mama yake wakigombana, alijaribu kumwita baba yake ili wasiendelee kugombana na ndipo baba yake alipomgeukia yeye na kumcharanga mapanga hadi kumuaa.

Hata hivyo, haikufahamika chanzo hasa cha ugomvi baina ya wazazi hao wa Gift.

Inaelezwa kuwa Mustafa alimjeruhi pia mkewe kwa kumcharanga panga mkononi na usoni.

Englibert Kiondo ambaye ni Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke,  alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa mtuhumiwa (Mustafa Mchele) bado anashikiliwa na polisi na mwili wa marehemu uko katika Hospitali ya Wilaya ya Temeke. Zulfa ambaye ni mama wa marehemu Gift, ameruhusiwa kutoka hospitalini na kwenda kuugulia majeraha nyumbani kwake.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate