EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, April 6, 2013

Wachezaji Azam FC wasema ushindi kama kawa.

Dar es Salaam 
Azam FC inashuka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo kuivaa Barrack Young Controllers ya Liberia katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho, huku ikiwa na faida ya mabao mawili iliyopata ugenini katika mchezo wa kwanza.
 
Na kwa sababu hiyo, ili kusonga mbali hatua ya 32 bora, Azam wanahitaji sare ya aina yoyote katika mtanange huo unaotarajiwa kuanza jioni saa 10. Katika mchezo wa kwanza, Azam ilishinda mabao 2-1.

Pamoja na kumbukumbu hiyo nzuri ya ushindi wa ugenini, bado Azam wana
kazi kubwa ya kufanya kuweza kuitoa nje ya mashindano timu hiyo ya Liberia ambayo hakuna shaka imepania kulipa kisasi.
Kuwasili kwake kwa mapema takriban wiki moja kabla ya mchezo wenyewe, kunathibitisha kwamba haikuja nchini kutalii zaidi ya kusaka ushindi.


Kocha wa Azam Stewart Hall atategemea huduma ya mshambuliaji wake aliyepona, Brian Umony ili ashirikiane na John Bocco katika kutumbukiza mabao kwenye wavu wa Barrack.
Pia anakusudia kumrejesha katika sehemu ya kiungo wa juu, Salum ‘Sure Boy’ Abubakar’ ambaye hakuwapo kwenye mchezo wa kwanza ili kusuka mipango ya mabao sambamba na Kipre Bolou.

Akizungumzia kipute hicho, Hall alisema kikosi chake kimeiva vya kutosha na kipo tayari kuingia uwanja wa mapambano na kuhakikisha jahazi la Barrack linazama.
“Nimewaambia wachezaji wangu, tuache kufikiri kuhusu ushindi wetu wa mabao 2-1, tunatakiwa kupigana mpaka mwisho na ndivyo tutakavyofanya leo,” alisema Hall.
Naye kocha wa timu ya Barrack YC II, Robert Lartely amesema kuwa wamekuja kushinda na siyo kusindikiza licha ya kukoseshwa usingizi na wachezaji watatu wa Azam.
Lartely alisema wachezaji wanaomumiza kichwa ni Kipre Tcheche, Ibrahimu Mwaipopo na John Bocco ‘Adebayor’.

“Ni wachezaji wanaotutisha sana, tuliwaona Liberia lakini tumejipanga kushinda, hakuna shaka dhamira yetu itatimia,” alisema Lartely.
Alisema wamejipanga kuhakiksha wanawadhibiti wachezaji hao ili wasilete madhara.
Alisema kikosi chake kilichowasili mapema wiki hii, hakina majeruhi na kwamba wachezaji waliocheza kwenye mechi ya awali nchini Liberia watacheza.
“Asilimia kubwa tutatumia wachezaji wale wale waliocheza mechi ya mwanzo, kama kuna mabadiliko ni madogo sana. Nina imani na marekebisho niliyofanya,” aliongeza.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate