EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, May 11, 2013

‘bethidei’ ya mtoto wa Irene Pancras Uwoya Krrish imekuwa kama ya harusi.

DAAH! Pati ya kuzaliwa ‘bethidei’ ya mtoto wa Irene Pancras Uwoya na mumewe Hamad Ndikumana ‘Kataut’, Krrish imekuwa kama ya harusi, kwa namna ilivyofanyika, Risasi Jumamosi lina kila kitu.
JB akifungua Shampeni
Staa huyo wa filamu za Kibongo aliangusha bonge la sherehe kwenye Ukumbi wa Shekinah, Makonde, Mbezi Beach jijini Dar, Jumatano iliyopita na kuhudhuriwa na mastaa lukuki.
Uwoya Ndiku na Krrish Full Furaha
Krrish alikuwa akitimiza miaka miwili tangu alipozaliwa Mei 8, 2011 ambapo sherehe ilianza mchana hadi usiku mnene kukiwa na kila aina ya burudani hivyo kuwaacha watu midomo wazi kufuatia kufuru hiyo.
Uwoya,Ndiku wakikata Keki kwa pamoja na mtoto wao Krrish
MAAKULI MWANZO MWISHO
Kwa mujibu wa ‘balozi’ wetu, wageni waalikwa walipoanza kuingia ndani ya ukumbi, walikuwa wakikaribishwa kwa vinywaji vya kila aina na chakula kilichotengenezwa kwa utaalam wa hali ya juu hata kabla pati hiyo haijaanza rasmi, zoezi ambalo liliendelea hadi mwisho.
Muonekano wa keki
WATOTO WATENGENEZEWA KAMA HOLLYWOOD
Katika shughuli hiyo, kulikuwa na michezo mbalimbali ya kisasa ya watoto walioalikwa ambao walijengewa vijumba ‘spesho’ vya kuchezea kama Hollywood, Marekani.
Shamsa Ford na Welu Sengo wakijiachia
ULINZI MKALI
Ili kuhakikisha kuwa hakuna kitu kinachoweza kuleta ‘mizinguo’ na kuhatarisha burudani, kulikuwa na mabaunsa wapatao saba waliokuwa wameweka ulinzi mkali.
UWOYA, NDIKU
Huku watu wakiendelea kugonga ‘mpunga’, vinywaji na muziki, waliingia wazazi wa Krrish, Uwoya akifuatana na Ndiku wakiwa wamembeba mtoto wao na kusababisha shangwe za makofi na vigelegele.
  MAPENZI MOTOMOTO
Uwoya na Ndiku, muda wote walionekana wakiwa katika mapenzi motomoto kwa kukimbizana ukumbini kwa mabusu ya kumwaga.

BONGO MOVIES
Katika mnuso huo, mastaa mbalimbali kutoka Bongo Movies walipoingia ukumbini walichangamsha sherehe kwani mara zote walikuwa wakifurahi na kuserebuka muziki.

JB AFUNGUA SHAMPENI
Kulikuwa na shampeni zipatazo arobaini ndani ya ukumbi huo lakini Steven Jacob ‘JB’ aliombwa kufungua moja kwa ajili ya kuziwakilisha nyingine huku watu wakimuimba; ‘Bonge la Bwana’ na kumfanya kuona soo kimtindo.

BIBI, BABU KRRISH
Chereko zilikolea baada ya baba na mama mzazi wa Uwoya, kujichanganya na wageni waalikwa huku wakicheza na kufurahi kwa pamoja.

WATOTO YATIMA
Ili kuonesha anajali watoto wengine ambao wazazi wao wametangulia mbele ya haki, staa huyo aliwaalika watoto yatima ili kusherekea na Krrish siku hiyo.
Hadi Risasi Jumamosi linaanua jamvi ukumbini hapo usiku, watu walikuwa wakiendelea kutandika ‘masanga’ na kuserebuka muziki.
CHANZO NI GLOBAL PUBLISHERS

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate