EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, May 13, 2013

HATARI:MSICHANA WA MIAKA 16 APIGWA RISASI BAADA YA KUKUTWA ANASHIRIKI TENDO LA NDOA NDANI YA GARI NA MWANAUME JIJINI DAR ES SAALAM


JESHI la polisi limekumbwa na
 kashfa nyingine baada ya askari wake
 kudaiwa kumpiga risasi msichana wa
 miaka 16 baada ya kumkuta akivunja amri ya sita ndani ya gari.
Msichana huyo..
(Jina tunalihifadhi) alikumbana na mkasa huo
 Jumatano usiku eneo la Mbagala Zakhem
 jijini Dar es Salaam, ambapo alipigwa
 risasi sehemu ya makalio wakati
 akijaribu kuwakimbia polisi kwa 
kutumia gari la mpenzi wake.
Mpenzi huyo (jina linahifadhiwa), 
alikamatwa na kuwekwa mahabusu na
 kufunguliwa kesi ya ubakaji.
Akizungumza na NIPASHE Jumapili jana katika wodi
 ya Hospitali ya Temeke alikolazwa, msichana
 huyo alisema siku ya tukio alikutana na
 kijana huyo majira ya saa 8:00 usiku
 katika baa moja inayoitwa Kindau na
 kukubaliana kwenda kushiriki 
tendo la ndoa kwa malipo ya Sh 20,000.
Alisema kutokana na muda huo kuwa

 usiku sana hawakuweza kwenda katika
 nyumba ya kulala wageni na badala yake
 walikwenda eneo la Zakhem na kisha
 walipaki gari kwenye uchochoro na
 baadae walianza kubanjua amri ya sita.
Wakiwa kwenye kilele cha mapenzi yao

, ghafla walishtukia gari la polisi likiwajia 
kwa kasi kwa nia ya kuwakamata.
“Tuliagana anilipe elfu ishirini wala
 hakunibaka kama anavyodai, wao 
polisi walitukuta tayari tunamaliza
 lakini kutokana na woga 
tulikimbia ili tusikamatwe,” alisema msichana huyo.
Alisema wakati wanakimbia 
kwa kutumia gari la mpenzi wake
 askari mmoja alifyatua risasi
 iliyopenya kwenye taa ya gari na
 kwenda kumjeruhi sehemu ya makalio yake.
“Nilisikia mlio mkubwa wa bunduki,
 ghafla nilihisi kitu kimeingia mwilini
 mwangu na kuishiwa nguvu,” alisema kwa uchungu.
Alisema kwa kuona hali hiyo, 
mpenzi wake alisimamisha gari kwa 
kujisalimisha na polisi walipowafikia
 walimtaka mpenzi wake huyo atoe pesa
 kama malipo ya kitendo chao cha 
kukutwa wakifanya mapenzi
 ama sivyo watampeleka kituoni.
Alieleza kuwa mpenzi wake hakuweza
 kutoa pesa hizo ndipo walipoamua
 kumpiga na kumpeleka kituo cha
 polisi cha Mbagala na yeye alifikishwa 
hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu.
Hata hivyo, ndugu na jamaa wa mpenzi
 wake wanapinga hatua ya polisi hao
 kutumia nguvu kubwa kama watu hao
 walikuwa watuhumiwa wa ujambazi.
Wakizungumza wakiwa kwenye kituo 
cha Polisi cha Mbagala kufuatilia
 hatma ya ndugu yao, ndugu hao
 ambao hawakutaka majina yao 
yatajwe gazetini walisema hatua ya
 polisi kupiga risasi huku wakitambua
 watu hao sio majambazi ni kitendo cha kinyama.
“Tunachoshangaa ni kwa nini polisi
 wapige risasi wakati wakijua hawakuwa
 majambazi ila walikuwa wakifanya 
mapenzi, hata hilo jalada la kesi 
walilofungua wanataka kuficha maovu
 yao na sio vinginevyo,” alisema ndugu
 mmoja ambaye alijitambulisha kuwa shemeji yake.
Alisema kimsingi tukio hilo lilikwenda 
katika makubaliano yao na sio ubakaji
 kama wanavyodai, ila kinachofanyika
 kwa sasa ni kutaka kumlinda askari
 mwenzao aliyejeruhi kwa risasi.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke,
 David Misime, alipopigiwa simu kuelezea 
tukio hilo, alisema kwa sasa hawezi
 kulizungumza kwa kuwa yupo nje ya Mkoa kikazi.
Dj Sek Blog

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate