EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, July 31, 2013

HATIMAYE SERIKALI YAIFUNGA SHULE YA SEKONDARI YA LUTHERAN JOURNIOR YA MJINI MOROGORO BAADA YA WANAFUNZI KUGOMA KWA SIKU TATU.

Mgomo wa wanafunzi zaidi ya 600 wa shule ya sekondari ya seminari ya lutheran journior ya mjini Morogoro wa kutoingia darasani mpaka madai ya kero zao yatatuliwe umeingia hatua mpya baada ya serikali kuchukua hatua ya kuwafukuza wanafunzi wote shuleni hapo na kufunga shule hiyo kwa muda usiofahamika .

Hatua hiyo ya serikali imekuja kufuatia wanafunzi hao kukataa kuzungumza na kumzomea katibu mkuu wa kanisa la kinjiri la kirutheri KKKT Brighton Killewa ambaye alitumwa na askofu wa kanisa hilo nchini Alex Malasusa kusikiliza madai ya wanafunzi hao ambayo ni pamoja na kutaka mkuu wa shule hiyo aondolewa shuleni hao kutokana na kuendesha shule huyo kidikteta pamoja na walimu wanaoajiriwa hapo kutokuwa na sifa hali inayofanya shule kushuka kitaaluma .
 
Kasilda Mgeni Mulimila kutoka Morogoro anataarifa zaidi.......

Huyu ni katibu mkuu KKKT akiwa hana la kufanya baada ya wanafunzi hawa kumzumea hata kabla ya kuanza kusikiliza kero zao, hali hii inalilazimu jeshi la polisi kutuma askari wake kulinda usalama shuleni hapo kwa siku ya tatu leo huku uongozi wa shule hiyo ukiendelea kuwasiliana na serikali juu ya yale yanayoendelea shuleni hapo ,na hatimaye afisa elimu wa mkoa wariambora Nkya anakuja shuleni hapo na kisha kutoa uamuzi wa bodi ya shule na serikali.Kinyume na ilivyotarajiwa wanafunzi hao ambao awali walikuwa wakigoma kuondoka shuleni hapo ,baada ya amri ya afisa elimu huyo ,walianza kuondoka na mizigo yao ambapo tayari magari yalishafika shuleni hapo kwa kubeba wanafunzi lakini wengine walionekana hawana fedha na kulazimika kutembea kwa miguu kuomba hifadhi kwa wakazi wa morogogo wakati wakiwasiliana na, wazazi wao wawatumie nauli na hapa wanapasa sauti zao.
Hata hivyo Mkuu wa shule hiyo laison Saming'o hakuonekana shuleni hapo ili kujibu tuhuma zinazomkabili na huku habari zaidi toka shuleni hapo zikielezakuwa mkuu huyo wa shule alijifungua ofisini kwake tangu juzi akihofia wanafunzi hao ambao walikuwa na ghadhabu kubwa dhidi yake na kutaka aondolewa shuleni hapo.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate