Msanii
 wa kundi la sanaa kutoka Bariadi akicheza na nyoka aina ya Chatu wakati
 wa uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Bariadi –Lamadi.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wananchi waliohudhuria ufunguzi wa Barabara ya Bariadi Lamadi.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli(watatu kushoto),Mbunge wa Bariadi  Mhe.
 Andrew Chenge(kushoto)pamoja na viongozi wengine w akifunua kitambaa 
kuashiria kuweka jiwe la msingi na kuzindua ujenzi wa Barabara ya 
Bariadi-Lamadi yenye urefu wa kilometa 71.8 huko enelo la Old Maswa mkoa
 mpya wa Simiyu.
 Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipanda mti wa kumbukumbu katika eneo la Old
 Maswa muda mfupi baada ya kuzindua ujenzi wa barabara ya kilometa ya 
Bariadi-Lamadi 71.8 huko eneo la old Maswa, Mkoani Simiyu.
 Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli(pembeni
 ya Rais kulia) pamoja na viongozi wengine akikata utepe kuashiria 
kuzindua rasmi ujenzi wa Barbara ya Bariadi Lamadi yenye urefu wa 
kilometa 71.8 huko eneo la Old Maswa.
 Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bwana Saguda Kasili mlemavu 
ambaye pia ni mtendaji wa kijiji cha Ng’wang’wali  wakati aliposimama
 kijijini hapo kuwasalimia wananchi wa eneo hilo.
 Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Mradi wa Umeme 
katika kijiji cha Nkololo wilayani Bariadi, Mkoa wa Simiyu .Weninge 
katika picha kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh. 
Steven Masele, Mbunge wa Bariadi Mhe.Andrew Chenge(wapili 
kushoto),Paroko wa Nkololo Padri Paulo Fegan(wanne kushoto) na kulia ni 
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Pascal Mabiti.
 
 
 
 
 
 
 












 
No comments:
Post a Comment