Abuu Bakari akipokea kipigo cha nguvu kutoka kwa mpinzani wake Leonard .. ambapo hali ilikuwa mbaya sana kwa Abuu
 Mwamuzi wa Mpambano huo Michael Mwamkenja akisimamisha mpambano huo 
katika Mzunguko wa pili baada ya Bondia Abuu kunyosha mikono juu ishara 
ya kushindwa .
Leonard Machichi akitangazwa mshindi wa pambano hilo kali ambalo wanaliita RDT
Makamu
 wa Raisi mpya wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania Lukelo Anderson
 au Man Power akiwa anatoa Neno la Shukurani Mara baada ya mpambano huo 
kuisha.
Kutoka
 Kushoto ni Bi. Zuena Kipingu ambaye ni Mjumbe wa Maendeleo ya Vijana na
 wachezaji katika Shirikisho la ngumi za Ridhaa Tanzania,Mutayoba 
Rwakatale Katibu wa maandalizi hayo, na Bondia Haruna Swanga. 
Picha zote na Dar es salaam yetu.
No comments:
Post a Comment