EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, February 15, 2014

SKENDO ZA ROSE MUHANDO MAPYA YAIBUKA

JAMBO limezua jambo! Siku chache baada ya staa wa Injili Bongo, Rose Muhando kudaiwa kutiwa mbaroni kwa utapeli wa shilingi milioni 6, nyuma ya skendo hiyo, mapya yameibuka, Risasi Jumamosi linafunguka.
Rose Muhando.
Habari hiyo iliruka hewani kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti tumbo moja la hili, Ijumaa Wikienda la Februari 10 hadi 16, mwaka huu ikiwa na kichwa; ROSE MUHANDO MBARONI.
Kwa mujibu wa Katibu wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania, Stella Joel, mara kadhaa Rose alishaingia kwenye skendo nyingi kutokana na jamaa aliyetajwa kwa jina la Nathan Wami.
Alisema katika albamu ya Rose ya kwanza kabisa iitwayo, Jipange Sawasawa alijikuta akiingia kwenye balaa la kubambikiwa msala wa kudaiwa kukutwa na madawa ya kulevya ambapo katika mazingira yeye utata, staa huyo alijikuta akiziachia shilingi milioni 30 bila kujijua kwa baadhi ya polisi wa Dodoma. Hiyo inadaiwa ilikuwa ‘karibisha mgeni’.
Rose Muhando.
Stela alifafanua kuwa, hata msala ambao ulimfikisha Rose korokoroni katika Kituo cha Polisi
cha Msimbazi Dar hivi karibuni siyo wa shilingi milioni 6 kama ilivyoelezwa awali bali ni sh. milioni 2 ambazo si yeye aliyezipokea bali ni mwanaume huyo.

Alieleza kuwa katika msala huo wa  milioni 2 alizodaiwa kuchukua na kushindwa kwenda kufanya shoo Mombasa, Kenya, staa mwenzake wa Injili, Jennifer Mgendi alidaiwa kujua kila kitu alikataa kwenda Msimbazi kumtoa Rose akidai kuwa hajui chochote.

Stella alifunguka: “Tofauti na watu wanavyojua, Nathan hakuwahi kuwa meneja wa Rose bali alikuwa ni msaidizi wake tu. Kwa hiyo si kweli kusema eti Nathan aliamua kumwacha mwimbaji huyo kwa kisingizio cha kukosa mwelekeo.

“Msada pekee wa Nathan kwa Rose ni kumlipia gharama za studio alipokwenda kurekodi kwa mara ya kwanza wakati Rose akiwa anasali Kanisa la Saint Mary, Chimuli, Dodoma. Ila kama mlivyiosema kwenye gaeri la Ijumaa (Wikienda) kuna mengi yapo nyuma ya pazia.

“’Ukichaa’ wa Rose ni pale alipokosea akaenda na Nathan, Cosota (chama cha hatimiliki) na kuingia makubaliano kwa maandishi kwamba huyo Nathan ndiyo awe analipwa mrabaha (sehemu ya mapato) ya kazi zote za Rose. Ni juzijuzi tu ndiyo Rose akaniagiza mimi nikamtengulie huo mkataba,” alisema katibu huyo ambaye pia ni mwimba Injili.

Aliendelea kufafanua kuwa mikataba yote ya kazi za Rose alikuwa akisaini Nathan hadi mwimbaji huyo alipochukuliwa na lebo kubwa ya Sony inayosimamia kazi zake kwa sasa.
Akaongeza: “Kama pesa yote ingekuwa inaingia mikononi mwa Rose asingekuwa hivi alivyop leo. Fikiria mpaka sasa Rose ana gari moja tu (Toyota Prado), viwanja 3 na shamba la eka 100 pale Dumila, basi (Morogoro).”

Kwa upande wake, Rose alisema kuwa Nathan alimfanya mashine ya kutoa na kuweka fedha benki (ATM).
Nathan alipoulizwa juu ya madai yote hayo alijibu kwa sauti yenye uhakika: “Hayo madai si ya kweli. Mimi nimeishi na Rose kwa zaidi ya miaka 12. Mimi ndiye niliyemsaidia yeye. Asingekuwa alivyo sasa kama si mimi.”
CHANZO NI GPL

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate