EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, March 5, 2014

LG YAZINDUA JOKOFU LENYE UWEZO WA KUTUNZA UBARIDI KWA MUDA WA MASAA 7‏

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania, Mayur Parikh ambao ni wasambazaji bidhaa za LG, akiwa na Meneja Masoko wa LG, Shakti Vellu (kulia) pamoja na mfanyakazi wa kampuni hiyo wakizindua jokofu lenye uwezo wa kuhifadhi ubaridi kwa muda mrefu. Uzinduzi huo ulifanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Zoezi la kuzindua likiwa limekamilika.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania, Mayur Parikh ambao ni wasambazaji bidhaa za LG, akifungua jokofu hilo mbele ya waandishi wa habari ambao hawapo pichani. Anayeshuhudia ni Meneja Masoko wa LG, Shakti Vellu (kulia)

 Afisa Masoko wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania ambao ni wasambazaji wa Bidhaa za LG, Grace Kavishe, Carolyn Jesse akiongea na waandishi wa habari kuwaelezea jinsi jokofu hilo linavyoweza kufanya kazi.
 Muonekano wa jokofu hilo kwa ndani.
 Akiendelea kuelezea ubora wa jokovu.
 Mwakilishi wa kampuni ya LG Tanzania, Carolyne Yesse akitoa maelezo.
 Waandishi wa Habari wakifanya mahojiano na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania, Mayur Parikh.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania, Mayur Parikh akitoa malezo ya awali.
---
Kampuni ya vifaa vya Umeme ya LG leo imezindua jokofu la kisasa zaidi yenye uwezo wa kutunza ubaridi kwa muda wa masaa saba upande wa jokofu ya kawaida na masaa kumi kwa upande wa friza hata pindi umeme unapokuwa umekatika.
Bidhaa hii mpya imezinduliwa mahususi kutokana na tatizo lililo kithiri la katizo la umeme ambalo hukumba maeneo mengi ya nchi na kusababisha vifaa vya umeme kukosa matumizi kwa muda mrefu.
Aidha tatizo hili la kukatika kwa umeme mara kwa mara kumepelekea makapuni kama LG kutanua wigo wao katika kutafuta suluhu na hivyo kubuni teknolojia zenye usasa uliopindukia katika ubunifu wa vifaa vitavyo himili nyakati umeme unapokosekana. Ni katika ubunifu huo ndipo LG ikatengeneza jokofu hili jipya lisilogandisha barafu kwenye “friza” linaloweza kutunza ubaridi katika sehemu ya ‘friji” kwa zaidi ya masaa saba hasa pale umeme unapokatika kwa kipindi kirefu.
Akiongea siku ya uzinduzi Appliances Product Manager LG East Africa, Oktae Kim alisema uzinduzi huu umelenga katika ubunifu mkubwa unaohusiana na mahitaji ya mteja na jinsi ya kuyatatua. Hivyo basi tunajitahidi kubuni bidhaa ambazo zina kidhi mahitaji ya wateja wetu.
Teknolojia iliyotumika inahusianisha valve kwenye jokofu ambayo hufunguka pale ambapo kunapokosekana na umeme. Valve hii inasambaza ubaridi kwenye vifaa vingine vilivyoundwa maalumu kutunda ubaridi na pindi umeme ukatikapo vipaa hivi huanza kutoa ubaridi kwa muda wa saa saba.
Bwana Kim amesema: “Evercool inapooza mara tatu zaidi kwa kutumia evaporator tatu. Evaporator kuu inatumia umeme na mbili zinafanya kazi bila kutumia umeme. Kwa hiyo sasa unaweza kufaidi vinywaji baridi na kuepuka kuharibika kwa chakula chako kwenye jokofu mara umeme unapokatika”.
LG ina visahani vya kugandishia barafu ambavyo vina uwezo wa kugandisha barafu kwa haraka ya zaid ya asilimia 20. Imetengenezwa kwa umahiri na maeneo ya kutosha kwa ndani na hivyo kukuwezesha kupata sehemu ya kutosha ndani wakati wa kuweka vitu. Sasa unaweza kutunza mboga na matunda vizuri bila kuogopa vitu kuharibika kutokana na mrudikano wa vitu nahivyo kusababisha unyevunyevu unaopelekea kuharibu vyakula. Na wakati wa kipindi cha joto kali, jokofu hili la milango miwili litakushangaza kwa kutunza chakula kwa hali ya juu.
Pia mwanga wa LED unang’aa zaidi, unadumu kwa muda mrefu na unatumia umeme mdogo. Na mtu atakayenunua jokofu hili hahitaji kutafuta ‘Stabilizer” kwani jokofu hili linaweza kufanya kazi vizuri hata wakati umeme unapokuwa mdogo.
Bw. Kim aliongezea kwakusema :compressor za LG ni Imara na tunakupa guarantee ya mwaka mzima” Pia aliongeza kuwa wanajitahidi kuhakikisha wanaendelea kuzalisha bidhaa za kisasa na zinazoendana na mahitaji halisi ya watu.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate