MWANDAFADA anayekimbiza ndani ya Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’
amesema anakiri kuwa usagaji upo kwa mastaa lakini yeye hajawahi
kushiriki.
Estelina Sanga ‘Linah’.
Linah alifunguka hilo alipokuwa akifanya mahojiani na paparazi wetu hivi karibuni akasema:

“Usagaji
upo tena kwa mastaa wengi lakini kwa upande wangu mimi sijawahi kufanya
hicho kitu na wala sitegemei kujihusisha nayo.”
No comments:
Post a Comment