EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, June 28, 2014

MZEE MAJUTO, LULU, MILLARD AYO WANG’ARA TUZO ZA WATU


Baadhi ya mastaa wote waliyojipatia tuzo wakiwa kwenye pozi la pamoja muda mfupi baada ya zoezi la utoaji tuzo kukamilika.

Miss Tanzania 2004, Faraja Kota (kulia), akimkabidhi tuzo ya Msanii Bora wa Filamu Anayependwa, Mzee Majuto.
Mtangazaji wa kipindi cha Amplifier, Millard Ayo (kushoto), akipokea tuzo ya Mtangazaji wa Redio Anayependwa Zaidi kutoka kwa Miss Tanzania 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe.
Meya wa Ilala, Mh.Jerry Silaa (kuli), akimkabidhi tuzo ya Mtangazaji wa Runinga wa Kike Anayependwa Zaidi, Salama Jabir.
Elizabeth Michael ‘Lulu’, akitoa neno la shukurani baada ya kutwaa Tuzo ya Muingizaji Bora wa Kike Anayependwa Zaidi.

Mbunifu wa mavazi nchini,  Mustafa Hassanali (kulia), akikabidhi tuzo ya Mwimbaji wa Kike Anayependwa Zaidi iliyonyakuliwa na Lady Jay Dee ambapo ilichukuliwa na mwakilishi wake, Pot Fedha.
Salim Kikeke (kushoto), akipokea tuzo ya Mtangazaji wa Runinga Anayependwa Zaidi.
Waandaaji wa tuzo hizo, Nancy Sumari (kushoto) na mumewe, Lucas  Neghest wakitoa neno la shukrani muda mfupi kabla ya shughuli za utoaji tuzo kuanza.
Mdogo wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco wa kwanza kushoto na Jacqueline Wolper wakipokea tuzo ya Filamu Inayopendwa Zaidi ya Ndoa Yangu aliyocheza marehemu pamoja na Wolper.
Meneja wa Kundi la Tip Top Connection, Babu Tale (kushoto), akipokea tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kiume kwa niaba ya Diamond ambaye yupo safarini. Anayemkabidhi ni mtangazaji, Salama Jabir.
Mratibu wa Shindano la Bongo Star Search, Rita Poulsen (kulia), akimkabidhi tuzo ya Muongozaji Bora wa Video za muziki, Nisher.
Msanii wa filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’, (kushoto), akiteta jambo na mchekeshaji King Majuto.
MASTAA mbalilmbali kutoka kwenye tasnia tofautitofauti hapa nchini, akiwemo Amri Athumani 'King Majuto', Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Millard Ayo, usiku wa kuamkia leo wameng’ara vilivyo kwenye sherehe za utoaji wa Tuzo za Watu ambazo zimefanyika kwa mara ya kwanza ndani ya Ukumbi wa Serena, Posta jijini Dar es Salaam.
King Majuto ameibuka kidedea baada ya kutwaa Tuzo ya Muigizaji wa Kiume Anayependwa Zaidi, huku Lulu akitwaa tuzo ya Muigizaji wa Kike Anayependwa Zaidi, Millard Ayo alikamata tuzo mbili; Mtangazaji wa Redio Anayependwa Zaidi na Kipindi cha Redio Kinachopendwa Zaidi.
Wengine walioibuka na tuzo hizo ni Nasibu Abdul ‘Diamond’, ambaye ametwaa tuzo ya Video Bora ya Muziki Inayopendwa Zaidi huku Judith Wambura 'Lady Jaydee akitwaa tuzo ya Msanii wa Muziki wa Kike Anayependwa Zaidi, Salimu Kikeke akaondoka na tuzo ya Mtangazaji wa Runinga wa Kiume Anayependwa Zaidi na Salama Jabir akachukua tuzo ya Kipindi cha Runinga Kinachopendwa Zaidi.
Aidha, Prodyuza Nisher alitwaa tuzo ya Muongozaji wa Muziki Anayependwa Zaidi na tuzo nyingine ilikuwa ya Filamu Inayopendwa Zaidi, Ndoa Yangu.
(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL)

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate