EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, July 14, 2014

WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
Sehemu ya mapaparazi waliofika kwenye tukio hilo.
Rais wa Chama cha Ngumi za Kulipwa nchini (T.P.B.O) Yasin Abdallah (katikati) ambao ndiyo wasimamizi wa pambano la Maugo na Mashali katika tamasha hilo,  akizungumzia pambano hilo.

Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (mwenye miwani) na Mkurugenzi Chuo cha Uandishi wa Habari, Biashara na Utawala cha Mlimani kilichopo Mbezi Kwa-Msuguri jijini Dar, Hassan Ngoma (kushoto kwa Mrisho), wakifuatilia kinachoendelea.
Khalid Chokoraa wa Bendi ya Mapacha Watatu akifuatilia kinachoendelea.
Mwakilishi na Rais wa Bongo Muvi Unity, Steve ‘Nyerere’, akielezea jinsi watakavyowagaragaza wasanii wa Bongo Fleva kwenye pambano la soka.
Mwakilishi wa timu ya Bongo Fleva, Inspector Haruni, akijibu mapigo kwa kueleza jinsi watakavyowararua Bongo Muvi Unity.  Kushoto ni mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto, na Eric Shigongo.
Bondia Mada Maugo akijitapa kumchapa mpinzani wake, Thomas Mashali 'Simba Asiyefugika'.
Mashali akimjibu Maugo na kujitapa kuendeleza kichapo.
Mbunge Hamisi Kigwangala anayeiwakilisha timu ya wabunge wa Simba akieleza jinsi walivyojiandaa kuwaadabisha wabunge wa Yanga.
Msanii wa filamu, Jacob Steven 'JB', ambaye atachapana na msanii mwenzake, Issa Mussa 'Clouds 112', akichimba mkwara jinsi atakavyomkalisha msanii huyo.
Shigongo ‘akiwakutanisha’ mabondia wenye upinzani mkali, Mashali (kushoto) na Maugo (kulia).
Clouds 112 (kushoto) akimchimbia mkwara JB ambaye aliishia kumuangalia kidharau na kusema anasubiri siku ya Agosti 8 katika Uwanja wa Taifa.
Sehemu ya wanahabari wakipata maelezo. 
WASHIRIKI wa ‘Tamasha la Usiku wa Matumaini’ leo wametambiana kwenye mkutano na vyombo vya habari uliofanyika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza, Afrika-Sana jijini Dar es Salaam.
Katika mkutano huo wa tamasha hilo la burudani mabondia, Mada Maugo na Thomas Mashali, kila mmoja amejitapa kumchakaza mwenzake katika pambano hilo huku Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala, aliyewawakilisha wabunge wa timu ya Simba alijitapa timu yake kuwamaliza Yanga.
Msanii wa Filamu za Maigizo, Issa Mussa 'Clouds 112' ambaye katika tamasha hilo atachapana makonde na Jacob Steven 'JB' katika mchezo wa 'boxing' wote wameahidi kutifuana 'kinomanoma'.
Rais na mwakilishi wa timu ya Bongo Muvi Unity, Steve Mengere 'Steve Nyerere',  alitamba timu yake kuigaragaza timu ya Bongo Fleva ambapo mwakilishi wake, Haruni Kahena 'Inspector Haruni',  alisema wao ndio watakaoibuka kidedea na kuwapiga Bongo Muvi Unity kwa mabao 7-1 kama walivyofanywa Wabrazil na Ujerumani wiki iliyopita kwenye nusu fainali za Kombe la Dunia.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Agosti 8 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ambapo huu utakuwa ni mwaka wa tatu mfululizo kufanyika likiandaliwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd.  
(HABARI/PICHA: RICHARD BUKOS / GPL. )

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate