EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Sunday, August 3, 2014

KABURU BILA KUMUNG`UNYA MANENO ACHANA HADHARANI KUFUKUZWA KWA RICHARD WAMBURA

Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
RASMI wanachama wa klabu ya Simba sc wapatao 680 wamelazimika kuwafuta uanachama wanachama wenzao 72 waliokwenda mahakamani akiwemo mgombea aliyeenguliwa katika uchaguzi uliopita, ‘Kidume’ Michael Richard Wambura.
Maamuzi hayo yemefikiwa katika mkutano mkuu wa kawaida wa klabu ya Simba uliofanyika leo katika ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Osterbay jijini Dar es salaam.
Mbali na wanachama kujadili masuala muhimu na kupokea taarifa mbalimbali za klabu katika mkutano huo, Agenda ya wanachama 72 waliokwenda mahakamani ndio ilibebea uzito wa juu zaidi na kila mtu alikuwa na hamu ya kutaka kujua nini hatima ya Wambura na wenzake.
Wambura aliipeleka Simba mahakamani mwaka 2010 na suala hilo lilisababisha kuenguliwa kwa jina lake katika uchaguzi mkuu wa Simba na kamati ya uchaguzi chini ya mwenyekiti wake, Wakili Dkt. Damas Daniel Ndumbaro.
KABURU
Makamu wa Rais wa Simba sc, Geofrey Nyange ‘Kaburu’
Lakini alikata rufani katika kamati ya Rufani ya shirikisho la soka Tanzania TFF, chini ya mwenyekiti wake, Jaji Julius Mutabazi Lugaziya na kushinda, hivyo kurejeshwa kwenye mchakato.
Sababu kubwa kumrudisha ilikuwa ni kwamba, tangu Simba itangaze kumsimamisha uanachama Wambura mwaka 2010, ilimuacha huru na kuendelea kushiriki shughuli za klabu kama mwanachama hai ikiwemo kulipia ada ya kadi yake ya uanachama.

Lakini kamati ya Ndumbaro ilimuengua tena kwasababu ya kupiga kampeni kabla ya muda.
Kutokana na nguvu kubwa aliyonayo Wambura,watu walisubiri kujua nini itakuwa hatima yake leo hii.
Michael Richard Wambura amefukuzwa uanachama TFF
Mtandao huu umezungumza na makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ ambaye amethibitisha kufutwa uanachama wanachama 72 pamoja na Wambura.
“Kikao kilikuwa kizuri na kimeendeshwa na Rais wetu Bwana Evans Aveva. Wanachama wamepata nafasi ya kujadili masuala ya msingi na wamepokea taarifa mbalimbali, lakini vilevile kuna maamuzi ambayo yalifanyika,” alisema Kaburu.
“Kulikuwa na agenda kubwa ambayo ilibeba uzito mkubwa sana katika kikao cha leo ni ile ya wanachama 71 waliokwenda mahakamani.
“Ikimbukwe kuwa mwaka 2010, Bwana Michael Richard Wambura na Bwana Nchemi walikwenda mahakamani na hadi sasa walikuwa hawajawi kuzungumza kwenye mkutano mkuu.”
“Vilevile katika mkutano mkuu wa 2014, kuna wanachama 70 waliokwenda mahakamani kuhusu masuala ya uchaguzi, kwahiyo leo kwa kauli moja wanachama wa klabu ya Simba wapatao 680 waliohudhuria kikao wamelaizimika kuwafuta wanachama hao waliokwenda mahakamani”
“Kitendo walichofanya ni utovu wa nidhamu, kwa mujibu wa katiba ya klabu yetu ya Simba, ibara ya 55 inasema mwanachama anayekwenda mahakamani basi afutwe uanachama wake”

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate