Friday, September 19, 2014
Jaja amfunika Okwi kwa mshahara
Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Geilson Santos ‘Jaja’, amempiku kwa mara nyingine mshambuliaji mpya wa Simba, Emmanuel Okwi, safari hii ikiwa ni katika mshahara wa mwezi.Siku chache zilizopita, Jaja amekuwa ndiye mchezaji gumzo zaidi hasa baada ya kufunga mabao mawili wakati Yanga ilipoivaa Azam FC na kuitwanga kwa mabao 3-0 kwenye mechi ya Ngao ya Jamii.
Umaarufu huo wa Jaja ulifanya amfunike Okwi huku mashabiki wa Yanga wakiona wamepata mbadala wa kuwapoza baada ya Okwi kurejea Simba, ghafla.
Kwa mara nyingine, Jaja amezidi kung’ara baada ya mshahara wake anaochota kwa mwezi Yanga kuwa unazidi ule wa Okwi kwa dola 100 (Sh 168,000).
Simba inamlipa Okwi dola 2,500 (Sh milioni 4.2) na imeelezwa inaweza kumuongeza wakati wa kuingia mkataba mpya.Yanga inatoa dola 2,600 (Sh milioni 4.4) kwa Jaja ambaye mshahara wake unaendana na ule wa Andrey Coutinho.
Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ndiye mchezaji anayeongoza kwa mshahara ‘rundo’ kwa wachezaji wote wa Yanga na Simba kwa kuwa kwa mwezi analamba dola 3,000 (Sh milioni 5).
Wageni wengine ni Hamis Kiiza anayechukua dola 2,500, sawa na Mbuyu Twite, mwenye uraia wa Rwanda lakini akiwa na asili ya DR Congo.
Kwa upande wa Simba, Okwi ndiye anaongoza kwa mshahara huo wa dola 2,500 akifuatiwa na nahodha Joseph Owino anayepokea dola 2,000 (Sh milioni 3.4), anafuatiwa na Paul Kiongera (dola 1,500), halafu Amissi Tambwe na Pierre Kwizera wote raia wa Burundi ambao kila mmoja analamba dola 1,000 (Sh milioni 1.7).
Mishahara ya wachezaji wa Yanga imeonekana kuwa juu zaidi kuliko wale wa Simba na inaonekana Simba ambayo imepata uongozi mpya, inaanza kujipanga.
Kabla ya kuingia kwa uongozi mpya, wachezaji wa Simba walikuwa wakipokea mishahara ya chini zaidi lakini tayari wameanza kujitutumua.Yanga walianza kuboresha mishahara ya wachezaji wao mapema na wamekuwa wakisisitiza wataendelea kufanya hivyo.
Timu hizo kongwe mbili na Azam FC ndizo zinaonekana kuwa na mishahara mikubwa kwa wachezaji wake wa kigeni na angalau wale wa nyumbani.
CREDIT: CHAMPIONI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe
No comments:
Post a Comment