USIKU
wa kuamkia leo Mtangazaji wa Kituo Cha Times FM, Hadija Shaibu 'Dida',
alifanikisha kujumuika nyumbani kwake Mwanyamala Manjuju na baadhi ya
ndugu,jamaa na marafiki zake wa karibu katika kusherekea siku ya
kuzaliwa kwake, ambapo alikuwa ameandaa chakula cha usiku,vinywaji vya
kila aina na burudani mbalimbali kutoka kwa marafiki zake wasanii.
HABARI/PICHA: MUSA MATEJA/GPL.
No comments:
Post a Comment