EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, November 1, 2014

Kiemba, Chanongo waongezewa Adhabu


Mchezaji wa Simba, Amri Kiemba.
Na Nicodemus Jonas
LILE sakata la kusimamishwa kwa wachezaji watatu wa Simba, Amri Kiemba, Haruna Chanongo na Shabani Kisiga, limechukua sura mpya baada ya nyota hao kugomea agizo la rais wa timu hiyo, Evans Aveva la kuwataka kufika ofisini kwake kujieleza.
Nyota hao walisimamishwa Jumapili iliyopita baada ya mchezo dhidi ya Tanzania Prisons kwa utovu wa nidhamu na walitakiwa kujieleza jana kwa rais, hata hivyo hakuna aliyefika, hivyo wataendelea na kifungo hadi watakapoitwa tena.

Adhabu yao ilikuwa imalizike jana kwenye kikao na Aveva lakini hawakutokea, hivyo sasa adhabu hiyo itaongezeka kwa kuwa viongozi watasubiri mechi ya leo na Mtibwa ipite na ndipo watakaa na kupanga tarehe nyingine.Hiyo sasa inamaanisha kuwa adhabu yao itaongezeka mpaka pale uongozi utakapofanya maamuzi mengine juu ya sakata hilo.
Mchezaji wa Simba, Haroun Chanongo.
Akizungumza na Championi Jumamosi, Katibu Mkuu wa Simba, Stephen Ally, alisema nyota hao walitakiwa kukutana na rais saa tatu asubuhi kwa ajili ya kujieleza lakini hakuna aliyejitokeza, licha ya rais kuwasubiri kwa muda mrefu ofisini kwake.
Aliongeza kuwa licha ya kushindwa kufika ofisini, Kisiga peke yake ndiye alipiga simu kuwaambia kuwa alikwama kwenye foleni huku Chanongo na Kiemba wakiwa kimya.
“Waliambiwa wafike ofisini kwa rais leo (jana) asubuhi saa 3:00, lakini hakuna hata mmoja aliyetokea mpaka saa 4:30, zaidi ya Kisiga kupiga simu kutuambia kuwa alikwama kwenye foleni. Hao wengine hakuna aliyetoa taarifa kuhusu kutokuja kwao.
“Kwa hiyo rais ameamua kuendelea na shughuli zake nyingine, ikizingatiwa tupo kwenye maandalizi ya mchezo wa kesho (leo, dhidi ya Mtibwa),” alisema na kuongeza kuwa, baada ya mechi watapanga tarehe ya kuwaita tena.
Wakati huohuo, kocha Patrick Phiri, amesema kuwa licha ya Chanongo kuwa kwenye kikosi cha kwanza, haoni pengo lake kwani kuna nyota wengi wanaoweza kuziba nafasi yake.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate