Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete akifungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa 
yaliyoko jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015. Pamoja naye ni 
Mama Salma Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa 
Mhe Bernard Membe, Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Hamad Msauni na 
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe Mhe Begum Taj.
Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete akiwa na wafanyakazi wa ubalozi baada ya kufungua rasmi majengo 
ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko jijini Paris Jumatano 
jioni Januari 28, 2015. Pamoja naye ni Mama Salma Kikwete, Waziri wa 
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, Mbunge wa 
Jimbo la Kikwajuni Mhe Hamad Msauni na Balozi wa Tanzania nchini 
Ufaransa Mhe Mhe Begum Taj.
Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete akisalimiana na balozi wa New Zealand nchini Ufaransa baada ya 
kufungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko 
jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015. Katikati ni Balozi wa 
Tanzania nchini Ufaransa Mhe Begum Taj. New Zealand ndiyo iliyoiuzia 
Tanzania majengo hayo ambayo ni ya ghorofa tano ya ofisi pamoja na jengo
 lingine la makazi ya balozi na maafisa wa ubalozi.
Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete akisalimiana na mwakilishi wa ubalozi wa Uganda nchini Uraransa 
baada ya kufungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa 
yaliyoko jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015. Katikati Balozi 
wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe Begum Taj. Ubalozi wa Tanzania ulikuwa 
katika majengo ya ubaloizi wa Uganda kabla ya New Zealand kuiuizia 
anzania majengo hayo ambayo ya ghorofa tano ya ofisi pamoja na jengo 
lingine la makazi ya balozi na maafisa wa ubalozi.
Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete akiweka saini kitabu cha wageni baada ya kufungua rasmi majengo 
ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko jijini Paris Jumatano 
jioni Januari 28, 2015. 
Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete akikagua na kuweka saini kitabu cha wageni baada ya kufungua 
rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko jijini 
Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015. Katikati Balozi wa Tanzania 
nchini Ufaransa Mhe Begum Taj. New Zealand ndiyo iliyoiuzia Tanzania 
majengo hayo ambayo ya ghorofa tano ya ofisi pamoja na jengo lingine la 
makazi ya balozi na maafisa wa ubalozi.
Rais Jakaya Mrisho 
Kikwete akijichanganya na wageni waalikwa ambao ni mabalozi wa nchi 
mba,limbali za Afrika pamoja na wana Jumuiya ya Watanzania baada ya 
kufungua rasmi majengo ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa yaliyoko 
jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015. Katikati Balozi wa 
Tanzania nchini Ufaransa Mhe Begum Taj. New Zealand ndiyo iliyoiuzia 
Tanzania majengo hayo ambayo ya ghorofa tano ya ofisi pamoja na jengo 
lingine la makazi ya balozi na maafisa wa ubalozi.
PICHA NA IKULU
 
 
 
 
 
 
 
















 
No comments:
Post a Comment