Stori: Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
SIKU chache baada ya
kuibuka utata mkubwa juu ya kichanga cha kike cha mwimba Injili maarufu
Bongo, Flora Mbasha huku mitandao ya kijamii ikieleza kwamba baba wa
mtoto huyo si aliyekuwa mume wa mwanamuziki huyo, Emmanuel Mbasha ‘Ima’,
familia ya mwanaume huyo inadaiwa kufanya kikao kizito jijini Dar ili
kupata ufumbuzi, Ijumaa Wikienda linakujuza.
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho karibu na familia ya Mbasha,
familia hiyo ilikutana Jumamosi iliyopita nyumbani kwa Ima,
Tabata-Kimanga, Dar ili kulizungumza suala hilo na kuona kama wanaweza
kukubaliana kukilea kichanga hicho endapo ni damu yao.
“Ndugu
walitofautiana, kila mtu alikuwa na mtazamo wake hivyo wakaona bora
wakutane na kutafuta jibu la pamoja kama wanalea au hawalei,” kilisema
chanzo hicho.
KIKAO CHAVUNJIKA
Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kuwa, kikao hicho hakikufikia
muafaka kutokana ndugu hao kutofautiana kimisimamo kwani kila mmoja
alitoa mawazo yake.
MBASHA ANASEMAJE?
Alipotafutwa Mbasha ambaye
sasa anatamba na Wimbo wa Haribu Mipango ya Shetani ambao inadaiwa
amekuwa akiutumia kama kijembe kwa Flora, alisema aachwe kwanza kwani
suala hilo linamuumiza kichwa na ni la kifamilia zaidi.
“Naomba mniache kwanza, sipo vizuri kwa sasa,” alisema
CLIP YAONESHA MSIMAMO
Kwa mujibu wa ‘clip’ ya sauti yake (Mbasha) aliyoituma kwa Ijumaa
Wikienda mwishoni mwa wiki iliyopita, yeye ana mtoto mmoja tu, Elizabeth
Emanuel Mbasha ’Liz’ ambaye ana miaka kama kumi na moja.
Mbasha
alisema hajui nini kinaendelea na kwamba ameambiwa habari za Flora
kujifungua mtoto wa kike lakini yeye haoni kama habari hizo zinamhusu
sana!
MSIKIE
“Mimi sijui niseme nini? Nimeambiwa
kwamba Flora amejifungua. Kwa hiyo? Mbona yeye Flora hajaniambia, si
anajua taarifa hizo hazinihusu? Amuogope Mungu, yeye angewaambia watu
ukweli.”
Ijumaa Wikienda: “Kwa hiyo unataka kusema mtoto si wako?”
Mbasha: “Yeye anajua.”
NDUGU WA MBASHA
Ijumaa
Wikienda lilizungumza na ndugu mmoja wa Mbasha (jina lipo) ambaye
alizungumzia sakata la shemejiye kujifungua mtoto akiwa mbali na
nyumbani:
“Haiwezi kukubalika. Yeye kama alijua amegombana na Mbasha halafu ana mimba, anangejinyenyekeza akatulia mpaka azae.
KUMBUKUMBU ZA NYUMA
Mara baada ya ugomvi wao na
kuondoka nyumbani miezi saba iliyopita, Flora aliwahi kunukuliwa na
chombo kimoja cha habari akikiri kuwa na ujauzito na kusema: “Ndiyo nina
mimba lakini siyo ya Gwajima.”
AZUNGUMZIA UNDUGU WAKE NA GWAJIMA
Hata hivyo,
hivi karibuni, Flora alikazia tena maneno yake kwa kusema kuwa Mchungaji
wa Kanisa la Uzima na Ufufuo, Josephat Gwajima ni anko (mjomba) wake
kwa hiyo watu wajaribu kuliangalia hilo, hawezi kuwa na uhusiano wa
kimapenzi na mjomba‘ake.
KUHUSU MADAI KUWA MTOTO NI WA GWAJIMA
Mwanasheria: “Kwanza nataka kusema kwamba, chombo chochote cha habari
ambacho kiliandika habari ya kumchafua Flora tutakishitaki. Iwe ni
magazeti iwe ni mitandao ya kijamii. Wanaosema ni mtoto wa Gwajima ndiyo
wanaomchafua Flora kwa sababu si kweli.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe
No comments:
Post a Comment